Tuliipenda wenyeweMamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta(EWURA) imetangaza ongezeko la gharama za mafuta nchini kuanzia kesho Julai 05, 2016 kutokana na kupanda kwa bei ya nishati hiyo duniani.
Petroli itauzwa shilingi 1888 badala ya shilingi 1865 ya sasa huku Diseli ikiuzwa shilingi 1720 badala ya shilingi 1633 na Mafuta ya taa nayo yakiuzwa shilingi 1687 badala ya shilingi 1607 ya sasa.
Saa chache baada ya wafanyabiashara kugundua kupanda huko kwa bei baadhi ya vituo vimefungwa kusubiri bei mpya ambapo onyo limetolewa juu yao.
Ccm mbele kwa mbele....tuliitaka wenyeweeBei imepanda lini huko duniani kiasi cha kuaffect bei ya nyumbani??
Ewura ni jipu
Leo una hoji.Bei imepanda lini huko duniani kiasi cha kuaffect bei ya nyumbani??
Ewura ni jipu
Wacha tuteseke na tukifanikiwa kufika 2020 ndio tutakuwa na akili ya kutumia kura zetu bila kukurupukaNi kweli, kuna mkoa wafanyabiashara wa mafuta wamefunga vituo kwa madai hakuna mafuta lakini EWURA imedai mafuta yapo
Mtashikana uchawi sana na huu ni mwanzo tuBei imepanda lini huko duniani kiasi cha kuaffect bei ya nyumbani??
Ewura ni jipu
Hivi wewe unajua hata kusoma? nani alikwambia kodi iliongezwa kwenye mafuta?Mh mpango hiki nini sasa, ulidai hamuweki kodi kwenye mafuta ili yasipande bei mbona mambo yanakuwa tofauti?
Mbona huko duniani tunaambiwa mafuta Leo yameshuka tena kwa 4%
Oil prices fall, u.s. reserve count rises, cnbc's deangelis discusses
Hapo haupo mbali mkuu ni adhabu ya kwanini tulikubali kudanganywa kwa tshirts na vilembabado umeme
Tabora kuna sakaya tu?tbr 2500, zaid ya mwenzi sasa . nashangaa huko kupanda
Tutakoma tulio chagua HAPA KAZI TUWacha tuisome namba!
Hizo bei nikwa wenye mlengo wa kushoto tu lkn jembe na nyundo wao hawaguswi kabisaBado hatujakoma tunasubiri nauli zipande, sababu tumewapaenda wenyewe wacha wele(sijui kinanani) waisome namba.
Punda wenyewe wanaishia kiwanda cha wachina dodomaTutatumia punda wakati ukifika. .
Daaaa hakuna pa kukimbilia kila kona ni kibano,Hapa MAJANGA TU! Serikali ya kusambaza umaskini nchini katika ubora wake.
Unajua Nyie Bavicha hamna tofauti na nyumbu na ndio maana mnaitwa nyumbu na hawakukosea! Hivi ni lini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta? Hivi kumbe hata budget hamkusoma mna kaa kupiga humu kelele?Bado hatujakoma tunasubiri nauli zipande, sababu tumewapaenda wenyewe wacha wele(sijui kinanani) waisome namba.
Sio kupanda kwa bei duniani iyo ni nyongeza ya vat 18% per bado na vingine tutasikia tu soon
Hapa MAJANGA TU! Serikali ya kusambaza umaskini nchini katika ubora wake.
Budget za nchi hii hazijawahi tatua matatizo ya wananchi.Unajua Nyie Bavicha hamna tofauti na nyumbu na ndio maana mnaitwa nyumbu na hawakukosea! Hivi ni lini serikali iliongeza kodi kwenye mafuta? Hivi kumbe hata budget hamkusoma mna kaa kupiga humu kelele?
Bei ya mafuta imekuwa ikipanda na kushuka kutegemeana na soko la dunia.. Mbona EWURA wamesema wazi kuwa ni kutokana na kupanda bei ya mafuta sokoni na duniani kote? Mnaanza kuropoka eti VAT? Hivi unyumbu mtaacha lini?
Yani kila jambo mnalialia tuu kumbe hata budget kuisoma huwa hamuisomi! Ingekuwa ni swala la VAT yangepanda toka tarehe 1 july!
Hakuna ongezeko la kodi kwenye mafuta na petrol acheni kuropoka nyie Bawacha!
Bavicha mtaendelea kuitwa nyumbu kwakuwa jina hilo lina wafaa..Tuliipenda wenyewe
Ccm mbele kwa mbele....tuliitaka wenyewee
Hapo haupo mbali mkuu ni adhabu ya kwanini tulikubali kudanganywa kwa tshirts na vilemba
Daaaa hakuna pa kukimbilia kila kona ni kibano,
Duniani wapi huko mheshimiwa mbona hapo mafuta yanaonyesha kushuka nimekuwekea na linkHivi wewe unajua hata kusoma? nani alikwambia kodi iliongezwa kwenye mafuta?
Mtu amekwambia mafuta yamepanda duniani halafu unaanza kusingizia Dr Mpango?