Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Just wondering out loud! Mafuriko ya last week yanatishia Taifa kuwa na mini budget na woga kibao na kuomba wahisani, je tukikumba na tetemeko baya kama la Haiti au Tsunami la nguvu tutafanyaje? Je tuko tayari au tutakimbilia kuuza uhuru kwa kutembeza bakuli la nguvu ingawa ni janga na ni kawaida kupata misaada wakati wa shida?
Tumejiandaaje?
Tumejiandaaje?