Mafuriko Korogwe: ITV kumhoji Katibu Mwenezi wa CCM badala ya viongozi wa Serikali ni Ujinga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,633
218,063
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .
Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.
Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusianivna vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .
.......... Itaendelea ....
Wanapewa maelekezo kuwa wanaccm ndiyo wasimamizi na wasemaji ndiyo maana tunawaona wanakagua miradi ya kitaifa.
 
hakuna tatizo ccm ndio wenye serekali na ndio wanaotatua matatizo ya wananchi kwahiyo ni halali kabsa
 
Tulia mkuu,katibu mwenezi Wa ccm ndo ccm yenyewe na ndo mkurugenzi,mkuu Wa wilaya ,mkuu Wa mkoa ,katibu tawala na rais pia,sioni tatizo kuhojiwa.nashauri next time waje wanahoji na Mimi mwanachama Wa ccm.ccm mbele kwa mbele
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
Labuda wanaogopa kuvamiwa na naniliu
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
Hata angehojiwa mtendaji wa serikali bado ni CCM tu kwa maana kila siku tunalalamika kuwa teuzi za watendaji wa serikali zinaangalia makada wa chama na siyo ujuzi wa kazi.
 
Kampuni waanzishe wao halafu kazi za kufanya uwachagulie! Hizi ni akili matope!

Kama unadhani wamefanya makosa basi anzisha kampuni yako halafu uende kuwahoji wale unadhani wanafaa kuhojiwa na kampuni yako!

Ni aina ya udikteta kupangia watu wengine nini cha kufanya wakati una chaguo lingine!
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
kujimwambafay ni tatizo
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
NDIO MAANA KUNA JAMAA KASEMA KUJIANDIKISHA NI SAWA NA KUPIMA NGOMA
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
Mkuu naomba tafsili ya hili swali langu. Serikali ndiyo inasimamia chama au chama ndicho kinachosimamia serikali?

Hilo jibu litatoa ufafanuzi wa uhalali wa kiongozi wa ccm kuhojiwa kama ulivyonukuu katika hoja yako.
 
Kwenye unafiki kama huu sitamung'unya maneno asilani ! Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko .

Kitendo cha ITV kuacha kuwahoji viongozi wa serikali wanaohusika na uokozi na kumhoji Katibu mwenezi duni wa ccm asiye na mbele wala nyuma ni kitendo cha aibu kilicholenga kufanya kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa.

Vitendo vidogo vidogo na vya hovyo kama hivi vikinyamaziwa vitashusha hadhi ya nchi yetu na kuonekana wote tuliomo ni wajinga , ifahamike kwamba masuala ya majanga hayahusiani na vyama vya siasa , ITV ni chombo huru hamna haja ya kutumikishwa kuibeba ccm hata kwenye mambo ya kijinga .

.......... Itaendelea ....
ITV wako sawa tu, CCM ndo Chama tawala na hao viongozi wa Serikali wanatekeleza ilani ya CCM. Pole sana Bavicha kwa kuteseka
 
Back
Top Bottom