Utafumuliwa marindaTukutane on April 26
Mafuriko yanatokea kokote wewe ujitathmini kwa vi kauli vyako uchwara........Afadhali.... Labda watapata akili
BAVICHA hajui hata Mrijo ipo Wilaya gani, eti Mrijo ipo Kongwa hatari sana vijana wa BAVICHA.Inaitwa Mrijo, sio mlijo Mzee, afu iko wilaya ya chemba, sio kongwa mzee
Mbunge wao yupo india anakula bataHabari wanaJF,
Nyumba zaidi ya 650 za vijiji vya Mlijo chini na kile cha Olbolot zimezingirwa na maji huku wakazi 4000 wa vijiji hivyo wakikosa makazi kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha wilayani Kongwa mkoani Dodoma.
Chanzo: ITV
Lakini hayaletwi na serikali kama tetemeko la Kagera., nitashangaa kama serikali itapeleka msaada kwa matatizo ambayo haikuyasababisha.Mafuriko yanatokea kokote wewe ujitathmini kwa vi kauli vyako uchwara........