MkimbizwaMbio
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 868
- 331
Ndivyo ninavyoisoma taswira na mtazamo wangu kwa wanasiasa, heti kila kitu Serikali, vyama vyetu vya siasa ukiachia kuhamasisha na kuwakilisha wananchi katika kuikosoa, kudai haki, kutoa maelekezo kwa Serikali katika utendaji wake, na kutoa Elimu kwa wananchi, vyama vyetu wajibu wao uko wapi katika matatizo ya kitaifa, ambapo, si mwana CCM wala CDM, Si CUF wala UDP anakumbuka tofauti zao kisiasa na kichama wakati wa majanga, mbona vyama vinatutenga? Mnasubiri tufe mje kutoa rambirambi? Zikowapi helkopta zilizotumika kutuomba kura?? Hatuna thamani tena??
Lakini mkuu, TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE. na hapo baadae kidogo tutahutubia wahanga.