Yetu Macho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 224
- 31
Hali ya usafiri Dar sasa imeendelea kuwa tete kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha.
Kwasasa niko Mbezi kwa masaa mawili sasa nkianza safari ya kwenda Hija kama ilivyo ada kwa Desemba.
Magari zaidi ya 1000 madogo kwa makubwa yamekwama hapa mbezi luis. Maji mengi hapa bonde la mchicha kiasi barabara haipitiki. Kwa wanaofikiria kuitumia njia hii kwa sasa wafikirie mbadala. Bahati mbaya sijui kama tunayo mbadala na sidhani kama kuna wazo hilo miaka za usoni hasa ukizingatia watawala maliopo. Sijui wakati ujenzi unaendelea wa barabara zetu wataalamu wetu watanzania wazalendo wanakua wapi, au ndo kushiriki ktk keki ya ufisadi.
Kwa waajiri tafadhali muwaelewe wafanyakazi wenu watapotoa sababu hii. Sijui kama hali ikiendelea namna hii itakuaje na nani awajibike maana masaa ya kazi (man hours) yanayo potea kwa misongamano, adha na dhoruba mbali mbali ambazo naamini zingeweza zuwilika hatuwezi tegemea miujiza ili uchumi ukue.
===============
Kwasasa niko Mbezi kwa masaa mawili sasa nkianza safari ya kwenda Hija kama ilivyo ada kwa Desemba.
Magari zaidi ya 1000 madogo kwa makubwa yamekwama hapa mbezi luis. Maji mengi hapa bonde la mchicha kiasi barabara haipitiki. Kwa wanaofikiria kuitumia njia hii kwa sasa wafikirie mbadala. Bahati mbaya sijui kama tunayo mbadala na sidhani kama kuna wazo hilo miaka za usoni hasa ukizingatia watawala maliopo. Sijui wakati ujenzi unaendelea wa barabara zetu wataalamu wetu watanzania wazalendo wanakua wapi, au ndo kushiriki ktk keki ya ufisadi.
Kwa waajiri tafadhali muwaelewe wafanyakazi wenu watapotoa sababu hii. Sijui kama hali ikiendelea namna hii itakuaje na nani awajibike maana masaa ya kazi (man hours) yanayo potea kwa misongamano, adha na dhoruba mbali mbali ambazo naamini zingeweza zuwilika hatuwezi tegemea miujiza ili uchumi ukue.
===============