MD24
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 745
- 254
Nipo Dar, hakuna mvua yoyote iliyonyesha hivi karibuni. Hakuna mafuriko, jua linawaka na kuna vumbi jingi tu hasa maeneo ya Tabata Relini na Kigogo. Wewe umesikia kwa nani?
Unafikiri kwa kutumia masaburi kama nape!