Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,888
- 32,291
Hunaweza kudhani ni Migambo wa City...
Dah aisee, mbona umekurupuka? Sijaongea kuhusu misaada ndugu. Nimesema kuhusu nasaha alizotoa, nasaha, nasaha, nasaha, au maoni kama huelewi maana ya neno nasaha, maoni, maoniiiii.
Dokoa hilo hilo moja kwenye thread hiyo linatosha, linatosha kwa sababu hakuna kiongozi yeyote aliyeshitukia ishu hiyo ya dogs.
Nasaha ndio nini?
Juma nacheka hapa sina mbavu! kuwa wazo la mbwa ndio yuko juu kuliko nyota? hakusema wahame mabondeni, hakuwashauri wasikilize TMA, anasubiri wafe? hivi waziri wa hali ya hewa wa CDM ni nani? ajiuzulu!
Ukiwa na mlengo hata mtu akitoa hoja pumba ukubaliane nayo? Naomba jibu.
we ni mfuasi wa hoja ya nguvu au nguvu ya hoja?
Mi nalia na mkuu wa mkoa kwa kula michango ya g.mboto sasa anakula za mafuriko kwa nn watoa misaada wasipeleke kwa walengwa moja kwa moja kuliko kupitia mikono ya kina sadik na wengineo? Nasikia uchungu
Kila siku huwa nasema hapa kuwa mimi si shabiki wa chama chochote cha siasa bali ni mfuasi wa hoja za nguvu na maneno ya maana. Nimemuona Mh MBOWE Kupitia mlimani TV akitoa maneno na nasaha zake kuhusu janga la mafuriko Dar. Kamanda uko juu, uko juu zaidi ya nyota mbinguni, unawaka kuliko jua, wewe ni bingwa zaidi kuliko YANGA. Unatisha zaidi ya njaa. Mkali kuliko simba kichaa, mcharuko zaidi ya nyati aliyejeruhiwa..una sumu kali zaidi ya koboko. Pamoja na mengi uliyosema, nimeukubali ushauri wako wa kutumia mbwa maalumu wa polisi kusaka maiti ambazo bila shaka zimefukiwa na vifusi VIVA KAMANDA MBOWE
Penye nyekundu, Mbowe hawezi kuwa na sifa hizo yeye ni mwanadamu. Sikubali kumbambikizia makufuru yako mtu mwingine. Ubebe uovu wako mwenyewe.
Penye brown, ni sifa za kumdhalilisha/kumdunisha mtu. Pia sikubaliani nawe. Mbowe, F.A. anaheshima yake. Acha kumvunjia heshima kiongozi wa watu.
binadamu akatafutwe na mbwa,, hv wewe mbowe ni binadamu wa aina gani? Katika maneno yako yote umeona hy ndo nasaha? U c tuongezee machungu ya mafuriko fanya utafiti wa maneno yako , mmechoka kudharau serikari sasa mmeanza ku2dharau na cc wananchi ,pelekeni uhuni wenu huko .
Nyerere alikosea, vyote vinamantiki. Mi ni mfuasi wa vyote kwa mazingira ya sasa. Naona vyote ni sahihi. Nguvu za hoja, au hoja za nguvu. Mara nyingine hoja za nguvu zinarekebisha mambo.
cdm wameshaanza kupeleka front wenyeweMi nalia na mkuu wa mkoa kwa kula michango ya g.mboto sasa anakula za mafuriko kwa nn watoa misaada wasipeleke kwa walengwa moja kwa moja kuliko kupitia mikono ya kina sadik na wengineo? Nasikia uchungu