Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Kila siku huwa nasema hapa kuwa mimi si shabiki wa chama chochote cha siasa bali ni mfuasi wa hoja za nguvu na maneno ya maana. Nimemuona Mh MBOWE Kupitia mlimani TV akitoa maneno na nasaha zake kuhusu janga la mafuriko Dar. Kamanda uko juu, uko juu zaidi ya nyota mbinguni, unawaka kuliko jua, wewe ni bingwa zaidi kuliko YANGA.
Unatisha zaidi ya njaa. Mkali kuliko simba kichaa, mcharuko zaidi ya nyati aliyejeruhiwa..una sumu kali zaidi ya koboko. Pamoja na mengi uliyosema, nimeukubali ushauri wako wa kutumia mbwa maalumu wa polisi kusaka maiti ambazo bila shaka zimefukiwa na vifusi VIVA KAMANDA MBOWE
Unatisha zaidi ya njaa. Mkali kuliko simba kichaa, mcharuko zaidi ya nyati aliyejeruhiwa..una sumu kali zaidi ya koboko. Pamoja na mengi uliyosema, nimeukubali ushauri wako wa kutumia mbwa maalumu wa polisi kusaka maiti ambazo bila shaka zimefukiwa na vifusi VIVA KAMANDA MBOWE