johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,758
- 141,622
Kwa kweli leo nimepita mitaa ya Tandale kwa Mtogole na mwananyamala msisiri hali ya mafuriko imenisikitisha sana.
Hivi kwa kadhia hii inayosababishwa na miundombinu ya hovyo nani tumtupie lawama au tumpelekee malalamiko kati ya Mkuu wa mkoa mh Makonda au yule mstahiki meya Mwita?
Wakuu hali ni mbaya na ukizingatia ukweli kuwa jiji la Dsm limekumbwa na ugonjwa wa dengue basi mashaka kwa binadamu yanazidi kuongezeka.
Kwa hasira naomba niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!
Hivi kwa kadhia hii inayosababishwa na miundombinu ya hovyo nani tumtupie lawama au tumpelekee malalamiko kati ya Mkuu wa mkoa mh Makonda au yule mstahiki meya Mwita?
Wakuu hali ni mbaya na ukizingatia ukweli kuwa jiji la Dsm limekumbwa na ugonjwa wa dengue basi mashaka kwa binadamu yanazidi kuongezeka.
Kwa hasira naomba niishie hapo
Maendeleo hayana vyama!