KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Naomba nikuulize @ NYC, mkiitwa msimame pale uwanja wa taifa wewe mwenye uwezo wa kuendesha mtambo wa matairi 18, na akawepo rubani wa helkopta ambayo haina matairi na akaigandisha hewani, pia akatokea rubani wa chopa yenye tairi 3, nani ataonekana kilaza licha ya kuwa na previllages za kusoma chuo chochote duniani?