Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Mkuu wenye akili tunaweza kusoma mwenendo wa mambo! Ila kwetu wapenda mageuzi tunafurahishwa na vita vyenu ila nina hakika upande wako UTASHINDWAMzito EL ameingiaje hapa?
Mkuu wenye akili tunaweza kusoma mwenendo wa mambo! Ila kwetu wapenda mageuzi tunafurahishwa na vita vyenu ila nina hakika upande wako UTASHINDWAMzito EL ameingiaje hapa?
- Saafi sana, huyu anaonekana yuko serious sana! - William
huu upuuzi mtupu. We hoja yako hapa iko wapi? Ulikuwa unamvutia pumzi ili akujibu umchafue?Kiranga huna hoja unachojua ni mipasho tu na vitisho tu kwani mke wako aliingiaje pale anapofanya kazi mbona itakuwa aibu tukienda hiyo njia! Wacha wewe eti Lowlives! Ha! Ha! Kwa hiyo kazi ya dukani tena la nguo! Ha! Ha!
- Kiranga unataka tuongelee habari baba yako na uchawi alipokuwa pale Ubalozini na ule wizi wake wa Credit Card na kumuuzia Ubunge Mwapachu! Ha! Ha! Uko kwenye kioo acha matusi wewe!
- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.
Wakulaumiwa ni "Founder wa nchi hii" Nyerere. Yeye "pekee" ndiyo alianzisha nchi hii. Kwa hiyo bora lawama zetu, hasira zetu, zote ziende kwake "Founder wa nchi hii' Mwalimu Nyerere.
Mwita mbona tumeambiwa kuna viongozi wa Chadema wamekuwepo huko I mean walitakiwa wawepo huko wanaotaka Urais just to show support kwa waathirika!
Kiranga huna hoja unachojua ni mipasho tu na vitisho tu kwani mke wako aliingiaje pale anapofanya kazi mbona itakuwa aibu tukienda hiyo njia! Wacha wewe eti Lowlives! Ha! Ha! Kwa hiyo kazi ya dukani tena la nguo! Ha! Ha!
- Kiranga unataka tuongelee habari baba yako na uchawi alipokuwa pale Ubalozini na ule wizi wake wa Credit Card na kumuuzia Ubunge Mwapachu! Ha! Ha! Uko kwenye kioo acha matusi wewe!
- Mafuriko ni kipimo cha uongozi na kampeni za Urais hasa CCM zilishaanza So walitakiwa kuwepo wagombea wote kwenye haya mafuriko.
Wewe mtoto mzembe wa JSM umeishashindwa katika vita hii siku nyingi, umeishawahi kutamka hapa jukwaani nia yako ya kuingia msituni kama EL atawazidi kundi lako, na kudhihirisha kuwa umeshindwa kusoma upepo wa politics za bongo ukamualika Nape @NYC wakati huyu jamaa ameishapotea kwenye ramani ya siasa za bongo kwa kukosa mkakati na kuamua kuvamia hoja za CDM kila wakati. Kwishnee kundi lako na mzee Six. Kama wamepanga kukupa uwaziri wa mambo ya ndani basi utachekea chooni tu hupati kitu. EL ana mbinu na brain nzuri kuliko SS na katika hiki kinyang'anyiro winner takes all.No way Upande wangu ni impossible kushindwa it wont happen!
Fmpiganaji! Ha! Ha! arudishe hela zetu za Richmonduli kwanza, otherwise ni mchafu na ndiye baba wa ufisadi Tanzania.
I think Kiranga has scored a big point on you Willy........hivi kweli kama si kuleta siasa kwenye mambo ya msingi ya kitaifa kama haya majanga unawezaje kuhusisha suala la mbio za urais 2015 na haya mafuriko??Kiranga siuzi nguo za wanawake Dukani, nina Leseni Class A ya Haz Mart na Bio Hazard and Poison Handling, nina Operate Machine ndefu kama Treni yenye Mataili 18. Leseni yangu lazima iwe approved na Waziri wa Homeland Security wa USA, na katika hili taifa la kwanza Duniani wenye hizo Special Leseni kama yangu hawazidi 400 katika la Wananchi Million 350 lakini kuna wauza maduka ya nguo za ndani za Wanawake kila kona hapa US So kuwa na heshima kidogo. Nina Ass. Degree ya Criminology and Police Sciense na BA ya Political Sciense Halafu nina Leseni ya Ass. Marine Eng toka Belgium So kuwa na Respect Bro, ha! Ha! Sibebi taka!
- Wale wote wanaotaka kutuongoza walitakiwa kujitokeza sasa kwenye haya Mafuriko, watuonyeshe mfano kama wa Bush na Giuliani kwenye September 11, as moja ya kigezo cha kuwa kiongozi anayetujali wakati wa majanga ya taifa.
I think Kiranga has scored a big point on you Willy........hivi kweli kama si kuleta siasa kwenye mambo ya msingi ya kitaifa kama haya majanga unawezaje kuhusisha suala la mbio za urais 2015 na haya mafuriko??
I mean.... let's be realistic hata kama hiki kikiwa kigezo cha urais.....mtu si anaweza ku feck tu kujitokeza kwenye mafuriko ili aonekane anawajali waathirika wa mafuriko!!!kama viongozi wako wa ccm walivyozoea ku feck wakati wa kampeni kwa kupelekea nguo na vyakula kwa maskini vijijini ili waonekane wanajali........this is exactly the same scenario you want to bring here......kwa mtazamo wako....na inaonyesha limekukaa kweli hili kwani umezaliwa nalo...this is exactly the way ccm operates.....you know what!!! Kiranga where are you brother?
Kiranga has exactly revealed here what kind of a person you are.....
Mi sijui mna vita gani we na Kiranga lakini nilishawahi kusema humu jf kuwa ninakuona wewe kuwa a very big hypocrit on big issues just for the sake of political gain.........yaani Kiranga amekuchana in and out..........i'm glad that kumbe kuna jamaa wanakujua mbaya....
By the way.....talking of your capacity in making sense of your heading in this post.....Kiranga has a point on this too.....you know what!....from what i have been reading from your posts time and then............i now really fail to accept the fact you possess the above named educational achievements.....fairly speaking.....on this matter i can fully agree with Kiranga......sorry for you......and please don't take this personal with me!!!because i don' know you personally....i just comment from what i read from you (your posts)......
Unajua uzuri wa JF tumeweza kuelewa ukweli wa nani ni nani kuhusu Lowassa humu ndani, I mean kuna wakati tulikuwa tunadanganyana sana hapa now we know the truth kwamba sio Serukamba, Sofia Simba, Makamba tu ambao tulidai hawajasoma kumbe wapo wengi tu mpaka humu kwa kweli ni maajabu ya Musa!