Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,756
Ndo ivo! Kama hujajipanga usikanyage pale. Pale sio mahali pa kulipia na kuchukua cheti. Kuna mtiti wa haja. Mziki wake mpaka umalize mafunzo ni afadhali tu uende jeshini kama wewe ni lege lege!
Jamani NIT, kuna wengine wamezoea kuendesha magari ya wajomba haya ya auto. Mambo ya kuweka magari ambayo gear haziingii mpaka mtu aigonge na nyundo, sio fair kabisa...
Jamani NIT, kuna wengine wamezoea kuendesha magari ya wajomba haya ya auto. Mambo ya kuweka magari ambayo gear haziingii mpaka mtu aigonge na nyundo, sio fair kabisa...