Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,958
Duh! Mkuu una class nyingi balaaAcha uoga wewe. Mimi Nina shahada ya chuo kikuu .Lakini pia nina mafunzo na uzoefu wa udereva kutoka VETA ,Leseni yangu ni A, B ,C, C1 ,C2,C3, D, E
Udereva ni mafunzo ya kawaida sana( basic skills)
Sent using Jamii Forums mobile app