Mafunzo ya Meditation na Yoga Mwanza weekend hii Royal sunset campsite

Michael Chairman

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
922
581
1068563

Kwa mara nyingine Light and sound meditation Africa ,Inakuletea mafunzo ya kiroho jijini Mwanza yatakayofanyika kwa siku mbili yaani jumamosi na Jumapili 13/14 /4 /2019 kuanzia saa tatu asubuhi ,Maeneo tulivu ya Royal sunset campsite beach Malimbe Luchelele.
Unakaribishwa wewe na familia yako na kwa watu wote njoo tujifunze utamaduni bora na wa kuigwa ambao kila mmoja anapaswa kuwa nao kwa afya ya mwili na akili.
Usuli wake kidogo na faida zake kwako kama utafahamu kufanya na kujifunza Yoga na Meditation....

1. Linapokuja swala la imani na kiroho wengi hufikiri ni kazi ya dini ambazo tunazo , fikra hii yaweza kuwa sawa kama haufahamu unahitaji nini juu ya masuala ya kiroho na uamsho wa kiroho.
2. kukua kiviwango vya kiroho kwenye zama za sasa ni jukumu lako binafsi kujua na kuweka juhudi kulifikia badala ya kusubiri dini zikupatie.
3. kusali na kufanya meditation ndiyo njia kuu ya kujiamsha kiroho wewe binasfi na kutokeza maisha yenye furaha na amani.
4. Kunakusaidia sana kujifahamu na kujijua wewe ulipotoka na hata kujua kwanini upo hapa duniani (kusudi lako nini?)
5. Kujiponya dhidi ya misongo ya mawazo na maumivu ya mwili kama mgongo na misuli na kutuliza akili.
6. Kuondosha hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo na ubongo.
7. Kufanya na kuwa na magunduzi mengi (ubunifu) dhidi ya matatizo ya dunia inayokosa kila siku upendo na amani.

karibuni sana wasiliana na 0759880010 Michael The Great one kwa usaidizi wa kufika Hakuna kiingilio ni bure kabisa mausuala ya kiroho hayana gharama za kuyalipia ni upendo.
 
View attachment 1068563
Kwa mara nyingine Light and sound meditation Africa ,Inakuletea mafunzo ya kiroho jijini Mwanza yatakayofanyika kwa siku mbili yaani jumamosi na Jumapili 13/14 /4 /2019 kuanzia saa tatu asubuhi ,Maeneo tulivu ya Royal sunset campsite beach Malimbe Luchelele.
Unakaribishwa wewe na familia yako na kwa watu wote njoo tujifunze utamaduni bora na wa kuigwa ambao kila mmoja anapaswa kuwa nao kwa afya ya mwili na akili.
Usuli wake kidogo na faida zake kwako kama utafahamu kufanya na kujifunza Yoga na Meditation....

1. Linapokuja swala la imani na kiroho wengi hufikiri ni kazi ya dini ambazo tunazo , fikra hii yaweza kuwa sawa kama haufahamu unahitaji nini juu ya masuala ya kiroho na uamsho wa kiroho.
2. kukua kiviwango vya kiroho kwenye zama za sasa ni jukumu lako binafsi kujua na kuweka juhudi kulifikia badala ya kusubiri dini zikupatie.
3. kusali na kufanya meditation ndiyo njia kuu ya kujiamsha kiroho wewe binasfi na kutokeza maisha yenye furaha na amani.
4. Kunakusaidia sana kujifahamu na kujijua wewe ulipotoka na hata kujua kwanini upo hapa duniani (kusudi lako nini?)
5. Kujiponya dhidi ya misongo ya mawazo na maumivu ya mwili kama mgongo na misuli na kutuliza akili.
6. Kuondosha hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo na ubongo.
7. Kufanya na kuwa na magunduzi mengi (ubunifu) dhidi ya matatizo ya dunia inayokosa kila siku upendo na amani.


karibuni sana wasiliana na 0759880010 Michael The Great one kwa usaidizi wa kufika Hakuna kiingilio ni bure kabisa mausuala ya kiroho hayana gharama za kuyalipia ni upendo.
Sisi wabongo bana kwa kuiga . Msosi wenyewe kuupata ni tabu. Maji ya kunywa tu anasa. Unaamka asubuhi na kuparamia na kubughia kiporo cha kande iliyochacha halafu eti unameditate na Yoga.

FANYENI KAZI
 
Sisi wabongo bana kwa kuiga . Msosi wenyewe kuupata ni tabu. Maji ya kunywa tu anasa. Unaamka asubuhi na kuparamia na kubughia kiporo cha kande iliyochacha halafu eti unameditate na Yoga.

FANYENI KAZI
kanuni isiyochakaa kuhusu maisha inasema kila zama na kila utawala kuna wanaoneemeka na wanaoteseka na mwisho (maisha ni mateso na mateso hayawezi kuondolewa na akili za kawaida ambazo haziwezi kutulizwa na kutafakari kwa kina namna ya kuondosha mateso..... Karibu sana nawe mpendwa
 
Jana zoezi lilikwenda vyema pamoja na changamoto ya watu wengi kutokufahamu ,dhana hii mpya lakini tumekbaliana kuendelea kuwaamsha walio lala zaidi na zaidi , shukrani sana kwa Guru Kinabo , Angela Adolf pamoja na washiriki wote walioanza mwanzo mpaka mwisho , pamoja na Mwal Reiner Charles tunashukuru sana , heshima za dhati ziende kwa Dr Nuhu aliyefundisha dhana ya Afya na Meditation shukrani sana sana. Kutokufahamu jambo haimanishi jambo hilo halipo , kasi ya mabadiliko ni kubwa na imekuwepo miaka na miaka usipotaka kubadilika utabadilishwa tu utake usitake
1071260
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom