Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
Kwa wale wanaouliza kihusu size ya kujenga greenhouse zao, ni kuwa ile size ya 5x15 huwa ni standard size ila sio lazima ujenge hiyo, unaweza jenga size yoyote ile hata kama ni hatua 5 kwa 6. Unajenga kutokana na urefu wa mfuko wako.

Km utataka kujua utapata kiasi gani cha mazao ktk gh yako, tuseme mfano unalima nyanya, kila square meter ya gh yako unapanda miche 4 ambapo kila mche utakupa kilo 100 za nyanya kwa kipindi chote cha msimu ambao ni miezi saba. So kwa sq m moja utapata kilo 400 ktk miezi saba ambayo km ukiuza kila kilo ktk bei ya sasa ya sh. 1,500 utapata sh. laki sita kwa kila sq m moja. km una gh ya 5x6 then una sq m 30 x 600,000 = 1,800,000
 
Kwa wale wanaouliza kihusu size ya kujenga greenhouse zao, ni kuwa ile size ya 5x15 huwa ni standard size ila sio lazima ujenge hiyo, unaweza jenga size yoyote ile hata kama ni hatua 5 kwa 6. Unajenga kutokana na urefu wa mfuko wako.

Km utataka kujua utapata kiasi gani cha mazao ktk gh yako, tuseme mfano unalima nyanya, kila square meter ya gh yako unapanda miche 4 ambapo kila mche utakupa kilo 100 za nyanya kwa kipindi chote cha msimu ambao ni miezi saba. So kwa sq m moja utapata kilo 400 ktk miezi saba ambayo km ukiuza kila kilo ktk bei ya sasa ya sh. 1,500 utapata sh. laki sita kwa kila sq m moja. km una gh ya 5x6 then una sq m 30 x 600,000 = 1,800,000

Kilo moja ya nyanya ishafika buku 2 si unajua sikukuu zinakaribia
 
Mkuu,
thread yako is very useful, lakini sidhani kama ukitaja raw materials basi utaibiwa ujuzi wako..

Hata hivyo ili uitwe mkaa (wa kutoa nishati) ni lazima miti ihusike.. Zaidi ya hapo si mkaa ni kitu kingne..

Sikupondi, ila najaribu kufikiri unapomwambia mtu njoo ulipie upate mafunzo, halafu husemi raw materials ni zipi, unadhani atajuaje kama na mazingira yake zipo?? Akilipia akaja kwenye mafunzo na kugundua hana access na hzo materials hela utamrudishia? Labda kama raw materials ni maji au hewa whch is everywhre..

Zaidi ya hapo be smart!

All the best in 'collection'..

Hata mm nimeshangaa.hatukatai mtoa mada atasaidia wengi katika mafunzo.kama tunataka kusaidia watu wengi, hasahasa wa tz wenzetu kujikwamua kiuchumi.huu ndo mud a muafaka hata kwa mafunzo ya mtandaoni.Kuna watu wengi humu wamejitolea kuwafundisha watu mambo mbalimbali lakini hawakutaka watu waende kuchukua mafunzo kwao.By the way hata mtoa mada sidhani kama atailipa serikali mapato kama Kodi ya chuo chake.
 
I need that training ila sijajua kama hiyo 45,000 ni ya kumfundisha mtu mmojammoja au mpaka wawe kwenye kikundi namaanisha nikija peke yangu utanifundisha au mpaka tuwe wengi? ntakuchek kwa cm yako
 
I need that training ila sijajua kama hiyo 45,000 ni ya kumfundisha mtu mmojammoja au mpaka wawe kwenye kikundi namaanisha nikija peke yangu utanifundisha au mpaka tuwe wengi? ntakuchek kwa cm yako

Haijalishi uko kwenye kikundi au mwenyewe. Bei ni hiyo kwa physical training. Ila kitabu ni sh elfu kumi
 
Heri ya sikukuu za mwisho wa mwaka watu wote



Naaaam! Tunashukuru Mkuu.......na hakika tumehesabiwa tena na sifa tunamrudishia Bwana wa majeshi!

Nitakupigia Kamanda wangu!!! Ile mambo sijaanza bado ila nina imani yaenda sawa barabara!
 
Habari zenu. Ningependa kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote mlioamua kuchukua muda wenu na kusoma thread yangu na wengine kuamua kuchukua uamuzi wa kuamua kuondokana na umaskini na kujifunza mambo haya ya ujasiriamali kutoka kwangu.

Kutokana na wingi wa majukumu niliyonayo katika kazi nizifanyazo pamoja na kuendesha biashara yangu ya kuzalisha mkaa, nimeona niweke mawazo yangu kwa asilimia zote katika upande huo. Watu wengi wamefanikiwa kuanzisha miradi yao au biashara zao zinazowainguizia kipato cha kila iku kutokana na mafunzo waliyopata kutoka kwangu. Hii ni kutokana na kuwa mafunzo haya ya kutengeneza mkaa yamewawezesha hatta wale wenye mitaji midogo hata shilingi elfu ishirini kuweza kupata vipato vya kuwatosheleza katika maisha yao. Ninafurahi kwa hilo. Hivyo nimeona nami nichukue nafasi hii ku focus kwenye mambo mengine. Hivyo ndani ya siku mbili tatu zijazo ntaifunga rasmi thread hii.

Kwa atakayekuwa na uhitaji na ushauri asisite kunitafuta ndani ya siku mbili tatu hizi kwenye namba yangu ile ile.

Asanteni sana.
 
Status
Not open for further replies.
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom