Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 636
- 540
- Thread starter
- #381
Kwa wale wanaouliza kihusu size ya kujenga greenhouse zao, ni kuwa ile size ya 5x15 huwa ni standard size ila sio lazima ujenge hiyo, unaweza jenga size yoyote ile hata kama ni hatua 5 kwa 6. Unajenga kutokana na urefu wa mfuko wako.
Km utataka kujua utapata kiasi gani cha mazao ktk gh yako, tuseme mfano unalima nyanya, kila square meter ya gh yako unapanda miche 4 ambapo kila mche utakupa kilo 100 za nyanya kwa kipindi chote cha msimu ambao ni miezi saba. So kwa sq m moja utapata kilo 400 ktk miezi saba ambayo km ukiuza kila kilo ktk bei ya sasa ya sh. 1,500 utapata sh. laki sita kwa kila sq m moja. km una gh ya 5x6 then una sq m 30 x 600,000 = 1,800,000
Km utataka kujua utapata kiasi gani cha mazao ktk gh yako, tuseme mfano unalima nyanya, kila square meter ya gh yako unapanda miche 4 ambapo kila mche utakupa kilo 100 za nyanya kwa kipindi chote cha msimu ambao ni miezi saba. So kwa sq m moja utapata kilo 400 ktk miezi saba ambayo km ukiuza kila kilo ktk bei ya sasa ya sh. 1,500 utapata sh. laki sita kwa kila sq m moja. km una gh ya 5x6 then una sq m 30 x 600,000 = 1,800,000