muneera75 Senior Member Oct 12, 2019 190 318 Sep 8, 2020 #1 Nimepata nafasi ya kufanya field halmashauri ya manispaa ya ilala Kama una ushauri au chochote cha kuniambia maybe cha kuzingatia. Thanks in advance
Nimepata nafasi ya kufanya field halmashauri ya manispaa ya ilala Kama una ushauri au chochote cha kuniambia maybe cha kuzingatia. Thanks in advance
muneera75 Senior Member Oct 12, 2019 190 318 Sep 11, 2020 Thread starter #3 ChickMagnet said: Kitengo/idara gani mkuu? Click to expand... Kule kwa ma hr maafisa utumishi
ChickMagnet JF-Expert Member Jul 19, 2013 2,642 3,268 Sep 12, 2020 #4 muneera75 said: Kule kwa ma hr maafisa utumishi Click to expand... Hapo kwa Aisha sio?
mugah di matheo JF-Expert Member Jul 28, 2018 6,276 12,335 Sep 12, 2020 #5 Kuwa na nidhamu Utakachokiona usimwambie MTU mwingine