ASHA NGEDELE
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 784
- 326
Habari,
Kuna jamaa yangu ana Nissan Xtrail new model t31 inampasua kichwa. Vitu vingine vyote viko poa ila kuna mlio wa kugonga unatokea nyuma akipita kwenye rough road ambao yani inakita kwa sauti sana esp kwenye barabara yenye mawe.
Kaipeleka kwa mafundi watatu ambao walimfanya abadili shock up za nyuma mara mbili lakini hamna kitu. Spring iko poa, stabilizer bush za rear swaybar kabadili na fundi anamwambia mounting/bush ya difu ya nyuma iko poa pia.
Msaada tutani
Kuna jamaa yangu ana Nissan Xtrail new model t31 inampasua kichwa. Vitu vingine vyote viko poa ila kuna mlio wa kugonga unatokea nyuma akipita kwenye rough road ambao yani inakita kwa sauti sana esp kwenye barabara yenye mawe.
Kaipeleka kwa mafundi watatu ambao walimfanya abadili shock up za nyuma mara mbili lakini hamna kitu. Spring iko poa, stabilizer bush za rear swaybar kabadili na fundi anamwambia mounting/bush ya difu ya nyuma iko poa pia.
Msaada tutani