Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,829
- 33,224
Congratz ila usiseme softwares ni rahisi, kwanza ni ghari na ukitaka kuzitafuta kwenye torrent ni shida , nying zina corrupt au zina fake password
Kuna mdau ana hii shida hapa
Msaada: Samsung J3
Naomba kwa wajuao tatizo la simu tajwa kuandika "No service" au "Emergency Calls Only" hata kama network kwa baadhi ya simu ipo
www.jamiiforums.com