Touch imekufa kabadilisheMafundi natumai mu wazima,iPhone 6s Plus inazingua nikibonyeza 7, 8,9 haziandiki ila zinaandika namba za juu yake au chini yake, na Kitu chochote kikiwa eneo la no.789 kama ok send na chochote kile hakifanyi kazi kikiwa eneo hilo, ni baada ya sim kuanguka, je tatizo litakuwa ni nini na tiba yake ni ipi nani Shiling ngapi? Masada tafazali
Tatzo ni touchMafundi natumai mu wazima,iPhone 6s Plus inazingua nikibonyeza 7, 8,9 haziandiki ila zinaandika namba za juu yake au chini yake, na Kitu chochote kikiwa eneo la no.789 kama ok send na chochote kile hakifanyi kazi kikiwa eneo hilo, ni baada ya sim kuanguka, je tatizo litakuwa ni nini na tiba yake ni ipi nani Shiling ngapi? Masada tafazali
L6 ya mpatie fundi aiflash .hyo h6 pia muone fundi wako wa karibu ndo aifungue aicheckSimu yangu tecno L6
Nikifungua data inaganda ganda
Na nina ingine tecno h6 nayo ina tatzo la kupata joto sana sehem ya kupunguza na kuongeza sauti pia haipunguzi sauti wala haiongezi na line 2 inasoma na kuachia mwenye kulijua Hilo tatizo twende sawa
Hapo huenda ikawa chaja unayoitumia au ic ya simu ndio imezinguaWakuu mimi ni fundi ninae chipukia, kuna simu moja ya kwangu tecno w5, inachukua muda mrefu sana kujaa napoiweka chaji, ikiwa na asilimia 10% inachukua zaidi ya masaa 12 kujaa paka asilimia 100%,
Nimebadilisha plate nzima ya system charge lakini bado tatizo lipo pale pale,
Tatizo litakuwa ni betri au mashine ndo inazingua?
Msaada kutoka kwa mafundi wenzangu tafadhali
NipmWakuu naitaji battery na hub/port au mtu anayeweza kufanya looping ya battery y hii simu ni XIAOMI MI NOTE LTEView attachment 895748View attachment 895750