Ata boyHakuna anayekupima.
Basi sawa tufanye unachotaka weww umeeleweka braza.
Mkuu toleo hili la huawei halisapot sd card upgrade... Hapo mwishon ulivoelezea sijakupata coz me sio fundiTumia sd card upgrade 10000% uhakika.. bt cyo sd cards zote zinazokubali, km ni fundi hope unalijua hlo... ikishindikana kabisa kata usb cable then tafuta DM,DP,GND na VBAT hzo ni mbadala wa hyo usb yako
Mkuu toleo hili la huawei halisapot sd card upgrade... Hapo mwishon ulivoelezea sijakupata coz me sio fundiTumia sd card upgrade 10000% uhakika.. bt cyo sd cards zote zinazokubali, km ni fundi hope unalijua hlo... ikishindikana kabisa kata usb cable then tafuta DM,DP,GND na VBAT hzo ni mbadala wa hyo usb yako
kwa tanzania sijajua kama bado kuna vyuo vinafundisha kozi ya ufundi simu. ila mafundi wa simu wa zamani kuanzia mwaka 2003 enzi za simens motorola philips nk.Ujajibu swali kuna vyuo vina fundisha kozi kama hizi hapa Bongo Mkuu
Veta waliondoa hiyo kozi walinambia nikitaka kazi ya ufundi simu nisome eletronics.kwa tanzania sijajua kama bado kuna vyuo vinafundisha kozi ya ufundi simu. ila mafundi wa simu wa zamani kuanzia mwaka 2003 enzi za simens motorola philips nk.
lakwalikuwa wanajifunza vyuo vya ufundi veta.
lakini saizi ufundi umebadilika sana. hata kama wanafundisha ufundi simu.
sijajua kama bado wanaendelea kufundisha kozi ambazo zinaendana na wakati
kwa upande wangu mm nilijifunza kwa mtu ambaye alijifunza veta ila na mm nimejiongeza sana kwa kusoma online.
ila mwanafunzi mzuri ni yule anaye fundishwa kitu na yeye anagundua kitu.
mjomba naona ww ufundi bado sana. na upo kwenye hatua za mwanzo sana naona hapo jinsi ulivyo vuluga. lakini huenda baadaye utakuwa fundi mzuri kwanaama unapenda kuhoji.
Njia tatu zipo tatu hazipo Samsung gt-s5301 kwa mwenye mchoro wa hiyo simu au maelezo.
Blaster hazole1
hyo mzaz
Njia tatu zipo tatu hazipo Samsung gt-s5301 kwa mwenye mchoro wa hiyo simu au maelezo.
Blaster hazole1
hyo mzaz
Ndio mkuuUna maana akuuzie display?mkuu ama!
Asante mkuu mchoro huu ninao.
je unajua kutumia meter apo njia inayotakiwa n moja tu vp unahangaika na izo 2 za nnAsante mkuu mchoro huu ninao.
Hizo njia zilizong'oka zimeng'oka kiasi kwamba. zote ukipima zinasoma GND
Nimeenda karikoo wakanishauri nitafute simu nzima kama hiyo.
Nami simu nzima sina.
Inahitajika njia tatu nichome kama kawaida.
Hiyo moja ya flash ndiyo sielewi nichomee wap jumper.
Asante mkuu ngoja nifanye hivyoje unajua kutumia meter apo njia inayotakiwa n moja tu vp unahangaika na izo 2 za nn
updates
hyo ilyoonyeshwa mstar wa blue ndio muhim fanya uwezavyo isguse ground then maker jumper to the connector
fuata hyo dot point things over
change rf ic Ok..msaada wakuu simu hii ya Tecno340 inasumbua upande wa network nmetumia njia hiyo kwenye picha lkn bado imegoma