Mafundi hardware naomba msaada wa kujifunza ufundi simu nipo gongolamboto km naweza pata fund ambaye yupo maeneo hayo Mambo ya gharama ntalipa km naweza pata fundi wa maeneo hayo ani pm tuyajenge
Msaada jamani nina simu aina ya Nokia 6.1plus nilipeleka kwa Fundi akaniambia POWER AC imekufa ila alikuwa hana hicho kifaa ambaye anaweza kunisaidia nahitaji msaada wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.