Mafua yana uhusiano gani na vitu vya baridi?

bazoka

JF-Expert Member
Mar 18, 2013
300
142
Wasalaam wakuu,

Hope mpo salama wote na bukheri wa afya zenu japo leo nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu mahusiano yaliyopo kati ya mafua na unywaji wa vitu vya baridi maana hapa nilipo nimegonga mvinyo wa baridi ghafla pua zimefunga lakini awali nilikuwa vizuri kabisa!

Je kuna tatizo zaidi ya mafua au kuna nini cha ziada!

Nawasilisha!
 
Wasalaam wakuu,

Hope mpo salama wote na bukheri wa afya zenu japo leo nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu mahusiano yaliyopo kati ya mafua na unywaji wa vitu vya baridi maana hapa nilipo nimegonga mvinyo wa baridi ghafla pua zimefunga lakini awali nilikuwa vizuri kabisa!

Je kuna tatizo zaidi ya mafua au kuna nini cha ziada!

Nawasilisha!
Mafua is a viral disease, and those virus thrive well in cold conditions. Therefore when you subject their Niche to cold conditions, they become active, they gain life and hence the condition you are feeling. Wataalamu ongezea
 
Influenza virus anapenda kuishi kwenye upper respiratory tract (upande wa juu wa mfumo wa upumuaji) maana anasurvive katika temperature ya 33C wakati mwili una 37C hivyo anahitaji baridi zaidi ndio maana anakaa maeneo kwenye airflow nzuri.

Ukinywa au kula vitu vya baridi unasupport growth yake lakini vitu vya moto haswa mvuke kama kwenye chai au supu hufanya virusi hawa wafe kwa joto ndio maana mtu hujisikia ahueni ya mafua pindi anapokunywa kinywaji cha moto au kuoga maji ya moto etc.
 
Asanteni sana kwa majibu mazuri wakuu cc TheGreatGenius cc CHUAKACHARA
 
Back
Top Bottom