Wadau salam!
Katika pita pita yangu Jumia, nimeona mafriji ya bei nafuu ambayo sio ya kifamilia nimekuta mengi yake ni brand ya Boss! Hata muonekane wake, hususani yale ya double doors naona ni wa kuvutia!
Swali langu ni kwa watumiaji au wenye uelewa wa haya mafriji! Je, ni mazuri interms of matumizi ya umeme, uwezo wa kutengeneza baridi, kugandisha (upande wa juu) na hata possibility ya kutiririsha maji nje pale inapokuwa hakuna umeme!!
Au kwa kifupi, nini uzuri na mapungufu ya haya mafriji.
Katika pita pita yangu Jumia, nimeona mafriji ya bei nafuu ambayo sio ya kifamilia nimekuta mengi yake ni brand ya Boss! Hata muonekane wake, hususani yale ya double doors naona ni wa kuvutia!
Swali langu ni kwa watumiaji au wenye uelewa wa haya mafriji! Je, ni mazuri interms of matumizi ya umeme, uwezo wa kutengeneza baridi, kugandisha (upande wa juu) na hata possibility ya kutiririsha maji nje pale inapokuwa hakuna umeme!!
Au kwa kifupi, nini uzuri na mapungufu ya haya mafriji.