Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,835
- 16,696
Jamani, hii ni hatari mno, si siasa, wala vyama, wala TANESCO, bali linatuhusu wananchi wote,
Mafisadi hawajaridhika na kutunyonya, sasa wanataka bil Tshs 185, hii ni sawa na kuwamaliza na kuwaangamiza wananchi, tuamke, wapinzani, wana CCM, maaskofu, masheikh, ordinary citizens, hatuwezi kuliwa hivi, sasa inatosha, sina imani na serikali,
bcos tayari waziri Ngeleja karusha mpira to Tanesco watoe majibu as if hajui chochote, this is rediculous, hii ni kutowajibika, kukwepa majukumu, he knows A-Z. nasema bcos mmiliki wa Dowans anajulikana, na yupo, atueleza hadharani anatutakia nini Wa Tz, napendekeza
asiwepo ktk nchi yetu, hii ni hatari kuu, hatuwezi kukaa na mtu kama huyu, tuamke serikali
as usual msitegemee chochote, na tukatae ICC kutuendesha kwani ICC ilianzishwa na
mabepari to safeguard their properties, hata kama ni uwizi watawatetea tu, sisi tuna mahakama zetu, tupinge, hii ni HATARI, na tusikae na watu hatari kwa wananchi hadi kufikia hivi, wananchi sasa ni wakati muafaka hadi tujue wanataka nini hasa huyu Dowans.
Mafisadi hawajaridhika na kutunyonya, sasa wanataka bil Tshs 185, hii ni sawa na kuwamaliza na kuwaangamiza wananchi, tuamke, wapinzani, wana CCM, maaskofu, masheikh, ordinary citizens, hatuwezi kuliwa hivi, sasa inatosha, sina imani na serikali,
bcos tayari waziri Ngeleja karusha mpira to Tanesco watoe majibu as if hajui chochote, this is rediculous, hii ni kutowajibika, kukwepa majukumu, he knows A-Z. nasema bcos mmiliki wa Dowans anajulikana, na yupo, atueleza hadharani anatutakia nini Wa Tz, napendekeza
asiwepo ktk nchi yetu, hii ni hatari kuu, hatuwezi kukaa na mtu kama huyu, tuamke serikali
as usual msitegemee chochote, na tukatae ICC kutuendesha kwani ICC ilianzishwa na
mabepari to safeguard their properties, hata kama ni uwizi watawatetea tu, sisi tuna mahakama zetu, tupinge, hii ni HATARI, na tusikae na watu hatari kwa wananchi hadi kufikia hivi, wananchi sasa ni wakati muafaka hadi tujue wanataka nini hasa huyu Dowans.