Mafisadi waisaidia Chadema kujilinda, Tabora leo moto

Ex Spy

JF-Expert Member
Jan 15, 2007
213
1,726
Kuna taarifa kwamba wale watuhumiwa wakuu wa ufisadi, Lowassa, Rostam na Chenge, wameanza kuwekeza kwa nguvu ndani ya Chadema na matokeo yake yataanza kuonekana leo mjini Tabora ambako mwelekeo utabadilika ili waonekane wao ni safi na sasa wameanzisha vita ya kuonyesha "katika ujambazi hatukua peke yetu, mbona wenzetu wameachwa??"
 
Kuna taarifa kwamba wale watuhumiwa wakuu wa ufisadi, Lowassa, Rostam na Chenge, wameanza kuwekeza kwa nguvu ndani ya Chadema na matokeo yake yataanza kuonekana leo mjini Tabora ambako mwelekeo utabadilika ili waonekane wao ni safi na sasa wameanzisha vita ya kuonyesha "katika ujambazi hatukua peke yetu, mbona wenzetu wameachwa??"

Ni kawaida mwizi akibanwa huwa na desturi ya kuwataja wenzake. Hata katika CC ya CCM walichofanya ni hilo hilo kwamba mafisadi wote watoswe baada ya kuona kuwa wengine wanatetewa
 
Tetesi zako siyo za kweli -- ni uongo mtupu, hazina msingi wowote. Yaani hao mafisadi uliowataja tayari wameshaondolewa katika ile Orodha ya CDM ya watu 11 pale Mwembe Yanga mwaka 2007?
 
Kuna taarifa kwamba wale watuhumiwa wakuu wa ufisadi, Lowassa, Rostam na Chenge, wameanza kuwekeza kwa nguvu ndani ya Chadema na matokeo yake yataanza kuonekana leo mjini Tabora ambako mwelekeo utabadilika ili waonekane wao ni safi na sasa wameanzisha vita ya kuonyesha "katika ujambazi hatukua peke yetu, mbona wenzetu wameachwa??"

kwa iyo unasema RA,EL, na Chenge hawatakuwemo kwenye list ya matapeli/majambazi/majizi watakaotajwa leo? Kweli vioja ,ngoja tusubiri tuone!
 
kwa iyo unasema RA,EL, na Chenge hawatakuwemo kwenye list ya matapeli/majambazi/majizi watakaotajwa leo? Kweli vioja ,ngoja tusubiri tuone!

Nilivyomwelewa mtoa mada alitaka kusema kuwa mafisadi watakuwa wamepenyeza ufisadi wa wenzao kwa CDM ili waonekane kuwa wao hawapo peke yao.
 
......ambako mwelekeo utabadilika ili waonekane wao ni safi na sasa wameanzisha vita ya kuonyesha "katika ujambazi hatukua peke yetu, mbona wenzetu wameachwa??"

Hata siku moja hawawezi kuonekana safi...............Hawa ni wachafu na kila wanakopita wananuka na kufuatwa na mainzi..............Huhitaji mtu akuambie ni wasafi au wachafu maana harufu yao na mainzi vinakusaidia wazai kuwafahamu.......walidanganywa wana Monduli na kwingineko kuwaona safi na wao wakaingia mkenge....


Sasa hivi huo ujinga wakuwaona safi haupo na CDM cant do to clean them....
....I mean no one to clean them......

Japo kuwa ni tetesi, hata hivyo kwa mwenye akili timamu atajua kuna mengi yatakayotokea ndani ya siku 90 walizopewa na zaidi baada ya siku 90 (whether watajitoa chamni kujiwajibisha au hawatajitoa)..............So many to come, makubwa kuliko hili
 
hakuna ukweli ktk taariha hii. mafisadi watakaotajwa wanajulikana kwa data za mtafiti dr. slaa, wala hategemei msaada wa akina RA, EL, NK, NK, AC..... mtoa mada anataka kupotosha msingi hoja kuwataja mafisadi.
 
kama linaukwe nibahati ataasikali anapomkamata mualifu nakaanzakulopoka makosayakeyote inamulahisishiya utendaji wa kaziyake kama wenzawo wamebaki nawakotayalikuwasaidia chadema nivizuli
 
Kuongeza idadi ya mafisadi si sawa na kuwasafisha waliokuwa kwenye orodha ya awali. Uchafu unabaki pale pale
 
Back
Top Bottom