Mafisadi vs dr. Slaa , kesho jumapili ubungo.

Mpaka Kieleweke

JF-Expert Member
Feb 27, 2007
4,132
1,571
Kuna taarifa kuwa dr.slaa akiwa na viongozi wa vyama vinne kesho watatoa kombora la lala salam , ili kuweza kuanika mbinu za mafisadi walizoweza kutumia kwenye kutuibia pesa zetu walalahoi wa taifa hili.\\
\Tukio hilo litafanyika majira ya saa nne kamili asubuhi kwenye ukumbi wa urafiki pale maeneo ya manzese ili kuweza kuzungumza na wananchi juu ya hali hiyo.\
\
Stay tuned kama tukipata hizo data kesho tutaziweka hapa ili kuweza kuzijadili kwa kina na kuangalia kulikoni na kama atatoa ushaidi sijui ........\

\Nawatakia mpambano mwema
 
Kila la heri slaa nafikiri ana-zaidi ya nusu ya watanzania ambao hawataki kusikia watu wanajinemesha na kuonda wengine ni malofa kwa kutumia Raslimali zetu.

Pamoja na kwamba hawa watuhumiwa wa UFISADI wanasema ni WIVU lakini ni vizuri kutumia njia sahihi katika kujipatia mali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom