Mafisadi sasa waanza kuumbuana

Shukurani

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
251
11
WATATAJANA TU MSIMU HUU

Mafisadi, sasa waanza kuumbuana
SOURCE: ALASIRI
2008-01-31 15:37:37
Na Mwandishi Wetu, Jijini


Kama Waswahili wasemavyo kwamba Waarabu wa Pemba hujuana kwa viremba, basi ndivyo inavyotokea hivi sasa kwa wale watafunaji wa pesa za umma, almaarufu kama mafisadi.

Kutokana na kutambuana, imeelezwa kwamba baadhi wameanza kuumbuana wao kwa wao huku wakitishiana kuanikana hadharani.

Taarifa kutoka kwa chanzo chetu katika wizara ya Madini na Nishati zinadai vigogo kadhaa ambao awali walikuwa wakishirikiana, hivi sasa ni maji na mafuta na chanzo cha uhasama huo ni mmoja kudaiwa kumchomea utambi mwenzake.

Imedaiwa kuwa kigogo mmoja alilikisha taarifa za mwenzake kwa mapaparazi ambao bado hawajachapisha kutokanana kuendelea kuzifanyia kazi, kitu kilichomkasirisha aliyetuhumiwa.

``Huyo aliyetuhumiwa inasemekana baada ya kubaini hilo, naye alianza kuwasaka waandishi ili awape data kumhusu mwenzake,`` kikaongeza chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa pia baadhi ya watendaji wamekuwa wakituma taarifa kibao kwenye mitandao zinazowatuhumu wenzao kwamba ni mafisadi, ingawa hawaweki majina yao wala kutaja ni wapi waliko na wana ushahidi gani wa kile wanachokisema.

Kadhalika katika Wizara ya Fedha inadaiwa baadhi ya watendaji ambao kwa njia moja ama nyingine ndio wanawachomea utambi wenzao kutokana na kufahamu dili zao.

``Hakuna anayetaka kufa peke yake. Kutokana na kutoaminiana, unakuta kila mmoja anamchimba mwenzake,`` kimedai chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa hivi sasa katika wizara kadhaa hakuna anayemwamini mwenzake kutokana na kutofahamu nani atakuchomea utambi.

Sakata la ufisadi lilipamba moto baada aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu kutimuliwa kazi kufuatia kubainika kwa ulaji mkubwa wa pesa za umma.

Soo la kuwepo kwa ufisadi nchini liliibuliwa mwaka jana na Mbunge wa Karatu Dk. Wilbrod Slaa .

SOURCE: Alasiri
 
WATATAJANA TU MSIMU HUU

Mafisadi, sasa waanza kuumbuana
SOURCE: ALASIRI
2008-01-31 15:37:37
Na Mwandishi Wetu, Jijini


Kama Waswahili wasemavyo kwamba Waarabu wa Pemba hujuana kwa viremba, basi ndivyo inavyotokea hivi sasa kwa wale watafunaji wa pesa za umma, almaarufu kama mafisadi.

Kutokana na kutambuana, imeelezwa kwamba baadhi wameanza kuumbuana wao kwa wao huku wakitishiana kuanikana hadharani.

Taarifa kutoka kwa chanzo chetu katika wizara ya Madini na Nishati zinadai vigogo kadhaa ambao awali walikuwa wakishirikiana, hivi sasa ni maji na mafuta na chanzo cha uhasama huo ni mmoja kudaiwa kumchomea utambi mwenzake.

Imedaiwa kuwa kigogo mmoja alilikisha taarifa za mwenzake kwa mapaparazi ambao bado hawajachapisha kutokanana kuendelea kuzifanyia kazi, kitu kilichomkasirisha aliyetuhumiwa.

``Huyo aliyetuhumiwa inasemekana baada ya kubaini hilo, naye alianza kuwasaka waandishi ili awape data kumhusu mwenzake,`` kikaongeza chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa pia baadhi ya watendaji wamekuwa wakituma taarifa kibao kwenye mitandao zinazowatuhumu wenzao kwamba ni mafisadi, ingawa hawaweki majina yao wala kutaja ni wapi waliko na wana ushahidi gani wa kile wanachokisema.

Kadhalika katika Wizara ya Fedha inadaiwa baadhi ya watendaji ambao kwa njia moja ama nyingine ndio wanawachomea utambi wenzao kutokana na kufahamu dili zao.

``Hakuna anayetaka kufa peke yake. Kutokana na kutoaminiana, unakuta kila mmoja anamchimba mwenzake,`` kimedai chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa hivi sasa katika wizara kadhaa hakuna anayemwamini mwenzake kutokana na kutofahamu nani atakuchomea utambi.

Sakata la ufisadi lilipamba moto baada aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu kutimuliwa kazi kufuatia kubainika kwa ulaji mkubwa wa pesa za umma.

Soo la kuwepo kwa ufisadi nchini liliibuliwa mwaka jana na Mbunge wa Karatu Dk. Wilbrod Slaa .

SOURCE: Alasiri

Jamani hivi haya angekuwa JK hataki yaibuke na yajulikane yangeibuka kweli? Mimi naona JK anafanya kazi yake kwa ufanisi mkubwa mpaka sasa hivi. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Ahsante JK
 
Need I say more?

Masatu, You don't have to add a thing...

Infact ishu ya ufisadi inaweza kuandikwa tu na yeyote kwa mtindo huu: "chanzo cha kuaminika, mtu aliye karibu, inasemekana etc".
Then afterwards comes the issue of credibility of the media.
 
Roya Roy, yale ya Slaa yalianza hivi hivi. Ooooohhh hatuamini habari za Slaa ni za kwenye internet, mwisho wa siku, credibility of the media ikaonekana.
 
WATATAJANA TU MSIMU HUU

Mafisadi, sasa waanza kuumbuana
SOURCE: ALASIRI
2008-01-31 15:37:37
Na Mwandishi Wetu, Jijini


Kama Waswahili wasemavyo kwamba Waarabu wa Pemba hujuana kwa viremba, basi ndivyo inavyotokea hivi sasa kwa wale watafunaji wa pesa za umma, almaarufu kama mafisadi.

Kutokana na kutambuana, imeelezwa kwamba baadhi wameanza kuumbuana wao kwa wao huku wakitishiana kuanikana hadharani.

Taarifa kutoka kwa chanzo chetu katika wizara ya Madini na Nishati zinadai vigogo kadhaa ambao awali walikuwa wakishirikiana, hivi sasa ni maji na mafuta na chanzo cha uhasama huo ni mmoja kudaiwa kumchomea utambi mwenzake.

Imedaiwa kuwa kigogo mmoja alilikisha taarifa za mwenzake kwa mapaparazi ambao bado hawajachapisha kutokanana kuendelea kuzifanyia kazi, kitu kilichomkasirisha aliyetuhumiwa.

``Huyo aliyetuhumiwa inasemekana baada ya kubaini hilo, naye alianza kuwasaka waandishi ili awape data kumhusu mwenzake,`` kikaongeza chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa pia baadhi ya watendaji wamekuwa wakituma taarifa kibao kwenye mitandao zinazowatuhumu wenzao kwamba ni mafisadi, ingawa hawaweki majina yao wala kutaja ni wapi waliko na wana ushahidi gani wa kile wanachokisema.

Kadhalika katika Wizara ya Fedha inadaiwa baadhi ya watendaji ambao kwa njia moja ama nyingine ndio wanawachomea utambi wenzao kutokana na kufahamu dili zao.

``Hakuna anayetaka kufa peke yake. Kutokana na kutoaminiana, unakuta kila mmoja anamchimba mwenzake,`` kimedai chanzo hicho.

Imedaiwa kuwa hivi sasa katika wizara kadhaa hakuna anayemwamini mwenzake kutokana na kutofahamu nani atakuchomea utambi.

Sakata la ufisadi lilipamba moto baada aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu kutimuliwa kazi kufuatia kubainika kwa ulaji mkubwa wa pesa za umma.

Soo la kuwepo kwa ufisadi nchini liliibuliwa mwaka jana na Mbunge wa Karatu Dk. Wilbrod Slaa .

SOURCE: Alasiri
TOTAL CANIBALISM- TAFUNANENI WENYEWE KWA WENYEWE
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom