Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Watanzania ni watu wa Ajabu sana. Wanaibiwa wananyamaza, wanacheka kama nyani. Matokeo yake wanakuja kuvuna mabua. Mafisadi wanatafuna nchi, kwa hiyo lazima tuchukue hatua. Kuna kaka amejitolea, lazima tumuunge mkono. Lazima tushirikiane kuwapinga hawa watu
VITA DHIDI YA UFISADI
VITA DHIDI YA UFISADI