zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
"Mafia" wa Marekani kaskazini walianza kushika vyama vya wafanyakazi. "Mafia" wa Tanzania wanashika vyombo vya habari.
Nawatahadharisha wa Tanzania, wachunge sana wafanya biashara wenye kumiliki vyombo vya habari vyenye u "mimi". Hawa ni sumu kabisa, kwani wanawahadaa mass population kwa kujitengenezea sifa na habari njema kuhusu wao, kinyume na walivyo.
Huko Serikalini na watu wa uwt, watazameni sana hawa watu binafsi wenye vyombo vya habari, wasije wakaipeleka nchi wanapopataka wao.
Nawatahadharisha wa Tanzania, wachunge sana wafanya biashara wenye kumiliki vyombo vya habari vyenye u "mimi". Hawa ni sumu kabisa, kwani wanawahadaa mass population kwa kujitengenezea sifa na habari njema kuhusu wao, kinyume na walivyo.
Huko Serikalini na watu wa uwt, watazameni sana hawa watu binafsi wenye vyombo vya habari, wasije wakaipeleka nchi wanapopataka wao.