Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Mafinga ni Mji uliopo Mkoa wa Iringa njia kuu ya Iringa Mbeya Tunduma Malawi Zambia Afrika ya kusini n.k
Ni sehemu ambayo malori yanapaki sana...Yaani kuna starehe na bata za kufa mtu... Wanawake wanajiuza sana... Wanalala sana na madereva wengi sana wa malori, gari za kwenda nje ya nchi (IT)..
Nimekaa Mafinga wiki 3 za kazi ni hatari sana.
Ufuska wa kutisha
Ni sehemu ambayo malori yanapaki sana...Yaani kuna starehe na bata za kufa mtu... Wanawake wanajiuza sana... Wanalala sana na madereva wengi sana wa malori, gari za kwenda nje ya nchi (IT)..
Nimekaa Mafinga wiki 3 za kazi ni hatari sana.
Ufuska wa kutisha