Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 6,916
- 7,517
mkuu unachanganya madesa yule aliyefariki ni wa coastal sio tropicalJamaa wa Tropical naona kaamua kuondoka na ndege zake. Nadhani hii ni ndege ya tatu kudondoka tangu jamaa afariki.
mkuu unachanganya madesa yule aliyefariki ni wa coastal sio tropicalJamaa wa Tropical naona kaamua kuondoka na ndege zake. Nadhani hii ni ndege ya tatu kudondoka tangu jamaa afariki.
Kabisa ila cha kushangaza raia nao wameridhika wamepoa bariiiidi wanaona hayo ndo maendeleosehemu kama hizi ndiozo za kupewa kipaaombele kwenye miundo mbinu
Ok. Asante kwa taarifa.mkuu unachanganya madesa yule aliyefariki ni wa coastal sio tropical
Asante kwa taarifa.Ni costal ndio mwenyewe aliye fariki na sio tropical. Tropical wenyewe ni wahindi wa znz.
Marehemu nan ?Mke wa marehemu!
Wanapapenda tu mkuu kwa vacation.Kuna ishu gani hatari hadi kuwe na watu dizaini hiyo mkuu wanapiga huko misele?
Sawa wewe unayejua zaidi.hakuna aliyekufa acha uchuro
Pole atapatikanaJamani mpenzi wangu yupo huko alafu apatikani hapa nimechanganyikiwa