Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,338
- 1,221
Wakuu, habarini za leo. Nimeona clip ya video inatembea mitandaoni ikionyesha ndege ndogo ikiwa inaungua na sauti za watu, na king'ora cha gari la uokoaji. Sauti ni za kiswahili na mtu ametaja Mafia. Kama kuna mwenye taarifa hapa JF na atujuze kilichojiri. Tuwaombee wahanga wote.
=====
Taarifa zinaeleza kuwa watu watano wamejeruhiwa na wengine watatu hawajulikani walipo, baada ya dege Ndogo ya Shirika la Tropical waliyokuwa wakisafiri kutoka Kisiwa cha Mafia kwenda jijini Dar es Salaam, kuanguka na kuwaka moto, uwanja wa Ndege wa Mafia.
=====