fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 12,956
- 22,645
Wagwaniiii
Ebhana serikali mbona inafumbia macho hawa jamaa wa ubalozi wa Marekani leo ni siku ya 4 mfululizo wanapiga mabomu sjui mafataki mda mwingne milio kama ya bunduki.
Hii ni kero kwa wananchi bhana kuna wagonjwa bhana mitaani huku mnazingua aisee.
Ebhana serikali mbona inafumbia macho hawa jamaa wa ubalozi wa Marekani leo ni siku ya 4 mfululizo wanapiga mabomu sjui mafataki mda mwingne milio kama ya bunduki.
Hii ni kero kwa wananchi bhana kuna wagonjwa bhana mitaani huku mnazingua aisee.