kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 256
Katika kikaocha Bunge kinachokuja, suala la mafao ya pensheni lipewe kipau mbele na iwekigezo cha kuwatema wabunge wote ambao hawataunga mkono wala kuteteawafanyakazi wapewe mafao yao wakati wowote wanapoacha kazi au kufukuzwa kazi kama wao Wabunge wasivyosubiriwala kuzungushwa punde tu wanapomaliza awamu zao za Ubunge. Hatuna haja yakusubiri tufikishe miaka 60.
Wananchi, Wabunge ambao hawatatetea hoja hii,wapo Bungeni kwa maslahi ya nani? Tujiulize hili kisha chukueni hatua, na hatuani kuhakikisha wanapoteza viti vyao katika awamu ya Bunge lijalo. Vigezo namasharti kuzingatiwa. Kama vipi mafao yetu yapewe na 'interest' kwani hizo fedha zinafanyia biashara. Nawasilisha.
Wananchi, Wabunge ambao hawatatetea hoja hii,wapo Bungeni kwa maslahi ya nani? Tujiulize hili kisha chukueni hatua, na hatuani kuhakikisha wanapoteza viti vyao katika awamu ya Bunge lijalo. Vigezo namasharti kuzingatiwa. Kama vipi mafao yetu yapewe na 'interest' kwani hizo fedha zinafanyia biashara. Nawasilisha.