Ibrahim300
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 390
- 68
Kufikia sasa mafans waliotamani Diamond na Wema warudiane wanafuraha ya ajabu baada ya wawili hao kutangaza penzi lao kwa mara nyingine.
Lakini kuna yule aliyefanya wawili hao waachane...Penny.
Penny ndiye alikuwa chanzo cha wawili hao kuachana, jambo ambalo lilichukiza wengi.
Kurudisha machungu yao, mafans waliingia kwa mitandao na kumchana live kupitia michoro ya keki. Waliamua kuachilia picha kwa mtandao wa Instagram huku wakiongeza maneno makali ya kukinaisha.
'bwahahahahaha hahaha Heri ya Mwaka mpyaa jamanii watu wa nguvu #Muibaji Mkubwa nchinii Tanzania na ana phd ya Kuibaa wanaumee za dada zakee sis tunaimuita Mpekecho....'
Hayo ndio baadhi ya maneno yaliyowekwa yakiunganishwa na keki yenye maneno haya:
'Peni ukome kuchukua mabwana wa Rafiki/dada zako'
Chanzo>>>Mafans Wa Diamond Na Wema Wampa Makavu Penny - bkuHABARI
Lakini kuna yule aliyefanya wawili hao waachane...Penny.
Penny ndiye alikuwa chanzo cha wawili hao kuachana, jambo ambalo lilichukiza wengi.
Kurudisha machungu yao, mafans waliingia kwa mitandao na kumchana live kupitia michoro ya keki. Waliamua kuachilia picha kwa mtandao wa Instagram huku wakiongeza maneno makali ya kukinaisha.
'bwahahahahaha hahaha Heri ya Mwaka mpyaa jamanii watu wa nguvu #Muibaji Mkubwa nchinii Tanzania na ana phd ya Kuibaa wanaumee za dada zakee sis tunaimuita Mpekecho....'
Hayo ndio baadhi ya maneno yaliyowekwa yakiunganishwa na keki yenye maneno haya:
'Peni ukome kuchukua mabwana wa Rafiki/dada zako'
Chanzo>>>Mafans Wa Diamond Na Wema Wampa Makavu Penny - bkuHABARI