Mafanikio yana sauti -Quick Rocka

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,485
54,855
Quick Rocka 'Switcher' msanii anayesumbua masikio ya wapenda burudani na ngoma ya 'down' amewajibu wanaohoji mafanikio yake kuwa makubwa kuliko muziki kwa kusema siku zote mafanikio yana sauti kuliko mihangaiko.
quick%20rocka%20switch.jpg

Mbele ya kamera za eNewz ya EATV Rocka amesema kwamba mara nyingi watu wa nje hawawezi kujua ni kwa muda gani amekaa benchi kutafuta nafasi aliyonayo leo hivyo ni sahihi kwa wao kuzungumza kwamba anamafanikio mengi kuliko kazi zake za muziki.

"Mafanikio huwa yanaonekana zaidi kuliko Struggle, kipindi nahangaika hakuna mtu alikuwa anajua napata tabu kiasi gani kujitengeneza kuwa mtu wanayemuona sasa zaidi ya watu wangu wa karibu. Nina biashara za familia ninazosimamia, Lebo ya muziki na wasanii wake, studio na mambo mengine mengi lakini hayo watu hawayaoni, na mimi nitawaacha waendelee kuongea huku nikiendelea na kazi zangu", Quick Rocka alifunguka.
 
Yeah ni kweli watu wengine hawajui watu wanavyostruggle...Jamaa ni mpambanaji
[HASHTAG]#Switcher[/HASHTAG]
 
Kaongea point sana huyu Rocka..So aendelee kupambana..
Maneno hata kwenye khanga yapo
 
green city stand up........ila mbeya imekaa mda mrefu sasa bila kuleta mkali mwngne tena kwenye game aisee......kuna nini huko?
 
green city stand up........ila mbeya imekaa mda mrefu sasa bila kuleta mkali mwngne tena kwenye game aisee......kuna nini huko?

Mbeya iko juu sasa, Ray vanny anawakilisha tz BET, Sugu, Shaa, witnes kibonge mwepesi, Young D, Gigy money, Amberlulu, Neyhuddah , .a wengine watajeni
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom