Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

Nini hii??
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS VICHWA VYA WATU VIMEJAA MBALIMBALI NA KATHALIKA


UTAWALA WA CHAMA KIMOJA ILIKUWA KUORDER TU

1. ATEMBEE UCHI

2. FUKUZA KAZI

3. CHANA NGUO

4. LAZIMA ANIPENDE MIMI SIYO YULE

5. HATAKIWI KUOA/KUOLEWA

6. AFIKIRISHWE UJAMAA PEKEYAKE

7. HAFIKIRI TENA

8. TUNATAKA MOYO

9.TUNATAKA INI

10. ERROR TERM


WATU WANATEKELEZA KWA SABABU NI RAHA KUWA KARIBU NA KIONGOZI (GAP LA KUELEWA)
 
Poa! Ila JPM ana msimamo , hayumbishwi , katika kipindi chote ulishaona nidhamu kazini kama awamu hii?
 
Uchumi haukuwa imara ila pesa ilikuwa inaonekana kirahisi mtaani. Sasa hivi nchi yetu ina uchumi imara kuliko wakati mwingine wowote tangu kuumbwa kwa taifa letu.

Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya:

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma na vinginevyo vingi
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference Center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai
29. Ajira kila mwaka hasa walimu bila Kijali umesomea sanaa au sayansi
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka hasa chama ya sasa kufanya mikutano.
34. Aliwagomea CCM wenzangu na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
35. Uhuru wa vyombo ya habari.
36. Maisha bora kwa wanajeshi wetu kupitia Maduka Yao maalum.
37. Mikopo bodi ya mikopo uwe unasoma sanaa au sayansi,na Makato yaliyozingatia sheria
38. Watumishi Wengi wa umma walijiendeleza kielimu,na wengi sana walijenga Nyumba bora.

Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Hawa wanaomtukana na kusema kuwa tulichelewa mno Vp?

Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa
 
Kila kizazi na mziki wake. Huyu huyu mlimbeza Sana, mara Oo dhaifu sasa mmepata kiboko yenu jembe toka Chato. Mmekamatiwa chini mpaka mwalialia kwa bwana zenu kina Amsterdam. Magufuli Rais wetu mpendwa, bonyeza hapo hapo mpaka 2035.
Walioita dhaifu ni wengine acha kunukuuu
 
Yote bado alitukanwa sana ohooo anacheka cheka hovyo, ana safiri kila siku mara mswahili muuza kahawa.
 
Nakumbuka kuna siku eti walifanya maandamano ya kumgo'oa madaraka huku wanamuita dhaifu daaah.

Kesho yake akawaita Ikulu akawapa na juice na kashata.
 
Asante sana. Hata ukimpa jiwe miaka mingine 10 hatoweza kufanya hayo, sijui ni mradi gani wa jiwe ulio mkubwa umekamilika hadi sasa lakini hizo kelele zake utafikiri anafanya jambo ambalo viongozi waliopita hawakulifanya.
Itakamilika tu,,kwani flyover hukuziona?,treni za umeme huoni,bwawa la umeme hujaluona
 
Nakumbuka kuna siku eti walifanya maandamano ya kumgo'oa madaraka huku wanamuita dhaifu daaah.

Kesho yake akawaita Ikulu akawapa na juice na kashata.
Ha ha ha,nakumbuka tangu 2008 tunawaambia hawa watu,jk mtakuja kumkumbuka tu,,jamani yule baba alitukanwa sana asee...
 
WEWE JAMAA HYAWEZEKANA CHAMA CHA SIASA BORA VIKO VINGI MAANA KUNA WATU WANGETEMBEA UCHI KWA SABABU HUELEWI OVIOUS VICHWA VYA WATU VIMEJAA MBALIMBALI NA KATHALIKA


UTAWALA WA CHAMA KIMOJA ILIKUWA KUORDER TU

1. ATEMBEE UCHI

2. FUKUZA KAZI

3. CHANA NGUO

4. LAZIMA ANIPENDE MIMI SIYO YULE

5. HATAKIWI KUOA/KUOLEWA

6. AFIKIRISHWE UJAMAA PEKEYAKE

7. HAFIKIRI TENA

8. TUNATAKA MOYO

9.TUNATAKA INI

10. ERROR TERM


WATU WANATEKELEZA KWA SABABU NI RAHA KUWA KARIBU NA KIONGOZI (GAP LA KUELEWA)
Kwa aliefahamu anieleweshe!

Umeandika kwa herufi kubwa lakini ngumu kueleweka!! Yaani sijakuelewa hata ulichoandika!!
 
Kikwete ndyo baba lao na mfano leo hii arudi agombee Urais na Mgufuli, nawahakikishia magufuli hatapata kura hata ya bashite au mke wake janet. Kura zote ztaenda kwa Jk.
 
Orodha ni ndefu mimi nayakumbuka haya:

1. Daraja la Kigamboni
2. Daraja La Kilombero
3. Daraja la Umoja
4. Daraja la Maragarasi
5. Chuo Kikuu cha Dodoma na vinginevyo vingi
6. Hospitali ya Mloganzila
7. JNIA terminal III
8. DART(Mwendo kasi)
9. Sekondari za Kata nchi nzima kila kata ina shule.
10. Mradi mkubwa wa maji wa Ziwa Victoria
11. Songwe Airport
12. Kigoma Airport
13. Tabora Airport
14. Umeme wa REA
15. Benjamin Mkapa hospital Dodoma
16. Chuo kikuu cha Nelson Mandela Arusha
17. Dangote industry
18. Bomba la gesi Mtwara Dar
19. Kinyerezi I&II
20. Hospitali ya Moyo
21. MOI
22. Nchi nzima kuunganishwa kwa barabara za lami(zaidi km 14000 zilijengwa nchi nzima)
23. Umeme kwa makao makuu ya wilaya
24. Kuvusha Umeme Zanzibar
25. Ujenzi wa Mkongo wa taifa wa mawasiliano(leo tunajimwambafai na internet matunda ya JK)
26. JNICC Conference Center(Ukumbi wa kisasa)
27. Hata CCM wenyewe aliwajengea ukumbi wa kisasa Dodoma.
28. Nyongeza ya mishahara kwa watumishi kila mwezi Julai
29. Ajira kila mwaka hasa walimu bila Kijali umesomea sanaa au sayansi
30. Annual Increment ilikuwa haki ya Mtumishi.
32. Diplomasia ya kimataifa ilikuwa juu katika ukanda wa maziwa makuu.
33. Demokrasia iliyopevuka hasa chama ya sasa kufanya mikutano.
34. Aliwagomea CCM wenzangu na kuwaambia hoja za kisiasa hujibiwa kisiasa, sio kwa kipigo cha polisi.
35. Uhuru wa vyombo ya habari.
36. Maisha bora kwa wanajeshi wetu kupitia Maduka Yao maalum.
37. Mikopo bodi ya mikopo uwe unasoma sanaa au sayansi,na Makato yaliyozingatia sheria
38. Watumishi Wengi wa umma walijiendeleza kielimu,na wengi sana walijenga Nyumba bora.

Hayo ni machache ya Mwamba Jakaya Mrisho Khalfani Kikwete lakini hakujimwambafai.

Hawa wanaomtukana na kusema kuwa tulichelewa mno Vp?

Naomba nawe utukumbushe Mambo makubwa
Kuna kitu kinaitwa quality vs quantity
 
Naweza sema JK alifanya makusudi kutuachia huyu ili baadaye tujute hadi tumkumbuke.
 
Fly-overs sio miradi mikubwa na hayo mabwawa ya umeme na SGR hazijakamilika bado.
Tanzania mbona tuna wajinga hivi, je ni matokeo ya bure elimu ya Magufuli? Hizo mnazoita na kuimba kuwa ni Flyovers ukweli hayo ni madaraja tu juu ya barabara zingine kama itakavyokuwa SGR hapo Dar itapita juu ya barabara za Jiji ili magari yapite bila kungoja treni ipite.

SGR ni Mradi wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki kama ile ya Kenya ambayo inapita juu daraja la 57km juu ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo ili kuruhusu Wanyama wapite chini ya treni bila kuhatarisha maisha yao.

SGR yetu, Mradi uliosisiwa Awamu ya Nne na kuanza Awamu ya Tano, ilikuwa ikamalike mpaka Morogoro mwezi Novemba, 2019, leo Waziri ametangaza rasmi kuwa sasa itafika Moro mwezi Februari, 2021. Umeme wa Stiegler's Gorge ulianza kuimbwa wakati mmoja na SGR lakini hadi leo bado ni maandalizi tu ya eneo kutakapojengwa bwawa lakini ujenzi wenyewe wa bwawa bado hata kuanza.

Awamu ya Tano ilipoingia tu madarakani ilinunua madege yakawa yanakuja moja baada ya jingine Dar nzima ikijaa Uwanjani kuyapokea sasa yakiwa yamefikia manane ya masafa marefu yakiwa wamepark tu, matatu mengine yakingojewa na wimbo wa kusifia ukiwa umepungua. Hiyo ndiyo Miradi mitatu mikubwa inayosifiwa sana na wapambe ya Awamu ya Tano ambayo imeshindikana kukamilika katika miaka 5.
 
Back
Top Bottom