Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,721
Soma hivyo vilivyojengwa hafu kaangalie kwenye Ilani ya CCM uone vitu gani viliandikwa na je ambavyo havikuandikwa ila JK akatekeleza ilikuwa ilani za Mabeberu?Kichwa cha mada kinasomeka, ''Mambo aliyofanya JK''.
Mimi nilichosema ni matunda na mafanikio ya Ilani ya CCM!
Kwani Ilani ya CCM imekuwa ni pesa?
Hujui kuwa alichofanya JK kama Mwenyekiti wa CCM ni kuisimamia Ilani ya CCM!
Kikubwa zaidi, hoja yako kuhusu kodi ungeielekeza kwa mleta mada!