Love Doctor
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 721
- 780
Nasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k. Je, ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje?
Huwa wanafanikiwa kimwili. .... kiroho wanakuwa masikini sana,Nasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k
Je ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje ?
Liwale mojaNenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini?
Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida.
Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Yaap. Halafu ajabu ni kwamba wenyeji wa Liwale wakienda hawahitaji utajiri wanakwenda kuchukua dawa ya mademu tuLiwale moja
Utapigwa..majini hayapangiwi na binadamu...asilimia 95 ni utapeliNasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k
Je ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje ?
Wanasiasa wakuje huku watujibu maana ndio wanaoongoza kuhudhuria kwa sangoma hasa nyakati hizi za uchaguzi.Nasikisia sana hizi habari fulani kawapata utajiri sababu ya majini n.k
Je ni kweli hizi mambo zipo na kama zipo unazipataje ?
Yaap. Halafu ajabu ni kwamba wenyeji wa Liwale wakienda hawahitaji utajiri wanakwenda kuchukua dawa ya mademu tu
Naomba connection ya mtaalamu wa liwaleLiwale moja
Ndio wapi hukoNenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini?
Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida.
Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Inipe hiyo connectionYaap. Halafu ajabu ni kwamba wenyeji wa Liwale wakienda hawahitaji utajiri wanakwenda kuchukua dawa ya mademu tu
Mpigamiti hiyoLiwale moja
Wewe nenda Sudan Temeke karibu na madadapoa, panda gari za Liwale, ukifika Liwale panda daladala za Mpigamiti au Lilombe huko ukifika waambie nataka mganga wa ngende . au Nenda kijiji cha Ndapata huko utajionea maajabu Simba anapiga story na mgangaInipe hiyo connection
Uzi Umefungwa rasmi.Utapigwa..majini hayapangiwi na binadamu...asilimia 95 ni utapeli
Mbona watu walio karibu na hapo Ni masikini wa kutupwa?? Akili ya kuambiwa changanya na umbeaNenda ngende wewe acha ulofa. Utahangaika na maisha mpaka lini?
Unasoma kwa shida, mshahara unaupata kwa shiida, na kujenga unajenga kwa shiida.
Ngende utajiri ni 200%, no kumwaga damu, ni masharti tu uyazingatie
Hapo ndio ninapochakaga mtu anakwambia ka biashara zako haziendi twenda kwa mtaalamu jiongeze wajati ye mwenyewe choka mbayaMbona watu walio karibu na hapo Ni masikini wa kutupwa?? Akili ya kuambiwa changanya na umbea