Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Mabingwa wa nchi Simba Sports Club wameondolewa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika katika hatua ya robo fainali.
Hata hivyo kufika hatua hiyo Ni mafanikio mengine makubwa kwa mabingwa hao wa Tannzania.
Hii Ina maana kuwa mwakani Tanzania itawakilishwa na Timu nne kwenye michuano ya klabu barani Afrika.
Katika misimu mitatu iliyopita Simba imefika hatua hiyo mara mbili. Ni hatua kubwa mno.
Yanga na Timu nyingine zijifunze nini kutoka kwa Simba?
Hata hivyo kufika hatua hiyo Ni mafanikio mengine makubwa kwa mabingwa hao wa Tannzania.
Hii Ina maana kuwa mwakani Tanzania itawakilishwa na Timu nne kwenye michuano ya klabu barani Afrika.
Katika misimu mitatu iliyopita Simba imefika hatua hiyo mara mbili. Ni hatua kubwa mno.
Yanga na Timu nyingine zijifunze nini kutoka kwa Simba?