Mafanikio ya Royal Tour yaanza kuonekana kwa kasi ya kutisha, Hongera Rais Samia

Unajuaje Kama sikuwa na id nyingine?

Kwa taarifa yako nina id nyingine ya kuanzia 2011 niliyoacha kuitumia 2015!
Sawa Mkuu. Ila point yangu ilikuwa ni kwamba wakati hili jukwaa linaanza uchangiaji wa kisiasa haukuwa wa kishabiki kama sasa. Vilevie wakati wa BCS kabla ya Jambo Forums.

Siasa za vyama hapa zilianza around 2010. Kama ulikuwepo, you should know better.
 
Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

Hii kitu tusiachie weupe tu ,tuanze pia sisi wenyewe kua na agent wa kuratibu utalii wa NDANI kila wilaya ,WATU wanapenda ila Sasa hatuna uratibu mzuri , katika Hili bado pia serikali itapata ,mapato ya kutosha, ni mipango tu,fikili KILA wilaya inakua na agent wa kuandaa tour,KILA wakati katika MOJA ya vivutio vyetu , KWa mwaka itakua serikali imeingiza kiasi gani? Mawazo tu
 
Kweli fedha fedheha yaani filamu ambayo bado hata haijaeditiwa ndio imeleta watalii? Jamani embu kueni basi hata na haya kidogo, mnasifiia hata mtu akikohoa kwa bahati mbaya mnasifia, kuweni na akili jamani hata kidogo tu
 
Mbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Sawa maneno yako.
Lakini watalii hawaji wengi.

Sasa lengo kupandisha watalii kutoka 2.4 mil kwa mwaka kufikia 5mil.

Let us be positive na tuchangie kujenga nchi yetu
 
Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

Miaka 60 je kuna vivutuo vipya?
 
Royal Tour ndo kipimo kikuu linapokuja suala la nchi kujitangaza. Baada ya hapo hata watu wakiona Visit Tanzania au Tanzania Unforgettable watakuwa wanajua ni Tanzania ipi inayozungumzwa.

Ndo mana Visit Rwanda ilikuja baada ya Kagame kufanya Royal Tour.

The future is really promising!
Rwanda wanajitangaza kwa kuwa wame wekeza kwenye vivutuo vipya vya utalii
 
Kimanjaro, serengeti,manyara mbona zipo kitambo tu, njooni na ubunifu wa vivutuo vipya, add value vilivyopi, au leteni technologia mpya kuwatembeza watalii, ndo tujitangaze

huko cambodia wamebuni drone ya abiria, huku inawza tumika tembeza watalii
 
Back
Top Bottom