Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
- Thread starter
- #81
Kuna tajiri asiye na kashfa duniani?Huyo jamaa wamarekani wenyewe wanasema ni tapeli ana tuhuma lukuki zinazomzunguka halafu unasema fursa 🤣
Kuna tajiri asiye na kashfa duniani?Huyo jamaa wamarekani wenyewe wanasema ni tapeli ana tuhuma lukuki zinazomzunguka halafu unasema fursa 🤣
Sifa za kijinga wakati nchi inaingiza mapato na kukuza pato la Taifa?Sifa za kijinga
Mkuu naona umempiga mtu na kitu kizito kichwani 😂😂Pimbi wewe Ngorongoro nimezunguka kuanzia Engaruka, Mt. Oldonyo lengai, hadi Loliondo. Nikalala Waso(hapo Liliondo) kesho yake nipita shotikati kutokea ngoro2 kwenye Oldupai (waswahili mnaita Olduvai) nikaangalia Fuvu, nikaenda kwenye "MOVING sand" nikaenda creta nikazunguka hadi kwenye bwawa la viboko na mamba tukamalizia getini.
Geti la kuingilia wanaotokea Karatu.
Mi.sio kama.wewe pimbiView attachment 1946159View attachment 1946160View attachment 1946161
View attachment 1946165
View attachment 1946175View attachment 1946176
Huyu ni taahira mkuu buna sababu ya kunishana nae.Kwa hiyo the Citizen wakiandika inamaanisha ni jambo jipya? Aisee!
Wewe taahira tu kaa pembeni kule unakaririshwa upumbavu na wewe unaingia mzima mzimaSifa za kijinga wakati nchi inaingiza mapato na kukuza pato la Taifa?
Kweli umekosa akili wewe!
nimemnyoosha mbuzi wa kijani yuleMkuu naona umempiga mtu na kitu kizito kichwani
Uzuri wa praise team huwa mara zote wanaishia kuumbuka.
Nakaririshwaje?Wewe taahira tu kaa pembeni kule unakaririshwa upumbavu na wewe unaingia mzima mzima
Unadhani wenzenu ngozi nyeupe wana akili kama zenu za kulalia fursa??Huyu ni taahira mkuu buna sababu ya kunishana nae.
Royal tour yenyewe hata kuonyeshwa haijaanza hadi 2022, huyu kenge yeye anasema ni faida za royal tour, unajiuliza watu wameiangalia kwenye nini hiyo tour?
Changamoto ya utalii wetu sio kwamba vivutio havijulikani, leo mtu ataniambia Samia ni Maarufu kuliko Serengeti hadi aitangaze? Kuna kitu maarufu nchi hii kama Serengeti?
Ni mataahira tu wanaweza kuandika alichokiandika huyu mtu.
Wameshatuona ni mazuzu, so wakirudi kwao wanaambizana wale 🙊 bado wamezubaa nendeni kama agents 😂"to sample tourist attractions" sijui umeelewa?
Hao matapeli wanakuja kutalii bure.
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😡Unamkumbuka yule black Amerika alimwambia Mwakyembe anakuja kujenga tren ya juu Dar?? mpaka Mwakyembe akamuita "huyu baba"
Tumekwisha... Eti "to sample tourist attractions"""to sample tourist attractions" sijui umeelewa?
Hao matapeli wanakuja kutalii bure.
Unamkumbuka yule black Amerika alimwambia Mwakyembe anakuja kujenga tren ya juu Dar?? mpaka Mwakyembe akamuita "huyu baba"
Hawa mimi nimewachukulia kama Explores...Wameshatuona ni mazuzu, so wakirudi kwao wanaambizana wale 🙊 bado wamezubaa nendeni kama agents 😂
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😡
Sio kashfa za utapeli, mara kadanganya sijui mradi umekwama na janja janja, tena kwa hela za mboga huyo alikuwa tapeli na criminalKuna tajiri asiye na kashfa duniani?
Hahahaha hii comment imenifurahisha sana. Umemaliza kila kituHuyu ni taahira mkuu buna sababu ya kunishana nae.
Royal tour yenyewe hata kuonyeshwa haijaanza hadi 2022, huyu kenge yeye anasema ni faida za royal tour, unajiuliza watu wameiangalia kwenye nini hiyo tour?
Changamoto ya utalii wetu sio kwamba vivutio havijulikani, leo mtu ataniambia Samia ni Maarufu kuliko Serengeti hadi aitangaze? Kuna kitu maarufu nchi hii kama Serengeti?
Ni mataahira tu wanaweza kuandika alichokiandika huyu mtu.
Wameshatuona ni mazuzu, so wakirudi kwao wanaambizana wale bado wamezubaa nendeni kama agents
Mikataba ya wizi ndio inakuhemsha?Mwenye Tatizo ni mimi au wewe?
Tatizo mmekalia ushamba na ndo mana unawapa shida!
Hao wanajua kuwa Tanzania tumetoka kurekodi Royal Tour, wanajua kuna soko kubwa la utalii linakuja kwa Tanzania.
Wanachofanya wanakuja kuweka mikataba na makubaliano na ma hoteli makubwa kwa sababu wanajua soon booking za kuja Tanzania zitakuwa nyingi kwao.
Kataa au kubali ni matokeo ya The Royal Tour
Tuna mijitu.mipuuzi sanaTumekwisha... Eti "to sample tourist attractions""
Wapuuzi kabisa.
Sio kashfa za utapeli, mara kadanganya sijui mradi umekwama na janja janja, tena kwa hela za mboga huyo alikuwa tapeli na criminalView attachment 1946306
View attachment 1946299
Mbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Kwa akili yako unadhani makampuni makubwa ya utalii duniani hawajui kuwa Rais Samia ametoka kurekodi Royal Tour saivi?
Unafikiri Wazungu wao wanalalia fursa Kama mlivyo nyie washamba wa hapa bongo?