Mafanikio ya Royal Tour yaanza kuonekana kwa kasi ya kutisha, Hongera Rais Samia

Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

View attachment 1946124
Sifa za kijinga
 
Tuondolee upumbavu wako. Kitu ambacho hakijaonyeshwa kitakuwaje na mafanikio wewe!? Akili za kushikiwa hizi kutaka kulazimisha mafaniko FAKE. Kadanganyeni pale lumumba siyo humu. Royal Tour ni upigaji kama upigaji mwingine. BEBERUS wamechukua chao mapema.

Kuzinduliwa bado unaweweseka,ushiriki wa Rais hata kabla ya kuzinduliwa ni habari kubwa ikishazinduliwa si ndio mtazimia?
 
Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

View attachment 1946124
HALAFU YANATOKEA MA CHADEMA NA KUANZA KUULIZA GHARAMA ZA HIYO ALIFANYA RAIS WAPUUZI SANA HAWA KENGE
 
Mwenye Tatizo ni mimi au wewe?
Tatizo mmekalia ushamba na ndo mana unawapa shida!
Hao wanajua kuwa Tanzania tumetoka kurekodi Royal Tour, wanajua kuna soko kubwa la utalii linakuja kwa Tanzania.

Wanachofanya wanakuja kuweka mikataba na makubaliano na ma hoteli makubwa kwa sababu wanajua soon booking za kuja Tanzania zitakuwa nyingi kwao.

Kataa au kubali ni matokeo ya The Royal Tour
Acha siasa jombaa.
 
Kama ni mazoea isingekuwa Habari! Hii ni impact ya The Royal Tour

.. Documentary ya Royal Tour bado haijarushwa.

..Hiki sio kipindi sahihi cha kupima mafanikio ya documentary hiyo.

..Pia mlipuko wa ugonjwa wa CORONA umeiathiri sekta ya UTALII dunia nzima.

..Katika mazingira hayo sio sahihi kujiwekea matarajio makubwa kuhusu idadi ya watalii watakaotembelea vivutio vyetu.

..Juhudi za Royal Tour ni jambo jema. Lakini tusijazane matumaini ya uongo. Hiki ni kipindi ambacho dunia nzima wamefunga mikanda.
 
Kujisemesha kila mtu anaweza kwa sababu una Domo ila kuthibitisha sasa ndio shughuli
Pimbi wewe Ngorongoro nimezunguka kuanzia Engaruka, Mt. Oldonyo lengai, hadi Loliondo. Nikalala Waso(hapo Liliondo) kesho yake nipita shotikati kutokea ngoro2 kwenye Oldupai (waswahili mnaita Olduvai) nikaangalia Fuvu, nikaenda kwenye "MOVING sand" nikaenda creta nikazunguka hadi kwenye bwawa la viboko na mamba tukamalizia getini.

Geti la kuingilia wanaotokea Karatu.


Mi.sio kama.wewe pimbi
20210920_151140.jpg
20210920_151607.jpg
20210920_151156.jpg

ngoro41.jpg

View attachment 1946175View attachment 1946176
 
Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

View attachment 1946124
Ndio hawa wanne walioletwa na Royal Tour? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
.. Documentary ya Royal Tour bado haijarushwa.

..Hiki sio kipindi sahihi cha kupima mafanikio ya documentary hiyo.

..Pia mlipuko wa ugonjwa wa CORONA umeiathiri sekta ya UTALII dunia nzima.

..Katika mazingira hayo sio sahihi kujiwekea matarajio makubwa kuhusu idadi ya watalii watakaotembelea vivutio vyetu.

..Juhudi za Royal Tour ni jambo jema. Lakini tusijazane matumaini ya uongo. Hiki ni kipindi ambacho dunia nzima wamefunga mikanda.
Enzi zile walikuwa wanapanda ndege kututafutia wawekezaji. Hivi wako wapi hao wawekezaji? Watu wanachezea sana dhamana na hela ya walipa kodi
 
Enzi zile walikuwa wanapanda ndege kututafutia wawekezaji. Hivi wako wapi hao wawekezaji? Watu wanachezea sana dhamana na hela ya walipa kodi

..wakati mwingine nadhani mafanikio ya kweli hayatangazwi au kupigiwa upatu.

..hayo yanayotangazwa sana ni failures na blunders ambazo tunalazimishwa tuamini kuwa ni mafanikio.

..Ni jambo baya sana serikali na chama tawala kuwa na makundi ya kudanganya na kupotosha wananchi.

..Royal Tour haijarushwa halafu wanatokea watu wanadai tumeshaanza kufaidika na documentary hiyo.
 
Pimbi wewe Ngorongoro nimezunguka kuanzia Engaruka, Mt. Oldonyo lengai, hadi Loliondo. Nikalala Waso(hapo Liliondo) kesho yake nipita shotikati kutokea ngoro2 kwenye Oldupai (waswahili mnaita Olduvai) nikaangalia Fuvu, nikaenda kwenye "MOVING sand" nikaenda creta nikazunguka hadi kwenye bwawa la viboko na mamba tukamalizia getini.

Geti la kuingilia wanaotokea Karatu.


Mi.sio kama.wewe pimbiView attachment 1946159View attachment 1946160View attachment 1946161
View attachment 1946165
View attachment 1946175View attachment 1946176
Hata mimi nimepita mikumi,selous,katavi,tarangire,Manyara na ngorongoro ila kwenye bus nikaona wanyama 😀😀
 
..wakati mwingine nadhani mafanikio ya kweli hayatangazwi au kupigiwa upatu.

..hayo yanayotangazwa sana ni failures na blunders ambazo tunalazimishwa tuamini kuwa ni mafanikio.

..Ni jambo baya sana serikali na chama tawala kuwa na makundi ya kudanganya na kupotosha wananchi.

..Royal Tour haijarushwa halafu wanatokea watu wanadai tumeshaanza kufaidika na documentary hiyo.
Tunajidanganya mpaka lini? Hii ni nchi yetu na tuna wajibu wa kuipenda na kuijenga. Tuamke kwenye usingizi wa kupoteza muda na kuanza kufanya kazi kwa weledi ili kupata maendeleo.Kupata maendeleo sio lelemama. Tusipobadilika tutaendelea kuwa vichekesho
 
Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!

Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.

Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.

Go Samia! Go Tanzania

Wewe unaamini kwamba ile filamu aliyorekodi chifu Hangaya less than a month ago tayari imeshaeditiwa na kutushwa kwenye runinga marekani au ndio wale wa kupongeza tu hata rais akijikwaa mnampongeza.
 
.. Documentary ya Royal Tour bado haijarushwa.

..Hiki sio kipindi sahihi cha kupima mafanikio ya documentary hiyo.

..Pia mlipuko wa ugonjwa wa CORONA umeiathiri sekta ya UTALII dunia nzima.

..Katika mazingira hayo sio sahihi kujiwekea matarajio makubwa kuhusu idadi ya watalii watakaotembelea vivutio vyetu.

..Juhudi za Royal Tour ni jambo jema. Lakini tusijazane matumaini ya uongo. Hiki ni kipindi ambacho dunia nzima wamefunga mikanda.
Kwa akili yako unadhani makampuni makubwa ya utalii duniani hawajui kuwa Rais Samia ametoka kurekodi Royal Tour saivi?

Unafikiri Wazungu wao wanalalia fursa Kama mlivyo nyie washamba wa hapa bongo?
 
Wewe unaamini kwamba ile filamu aliyorekodi chifu Hangaya less than a month ago tayari imeshaeditiwa na kutushwa kwenye runinga marekani au ndio wale wa kupongeza tu hata rais akijikwaa mnampongeza.
Wewe unadhani Tour operators wakubwa duniani wana akili kama zako?

Wao wanajua kabisa kuwa sasa Royal Tour inarekodiwa Tanzania na ivyo kutakuwa na biashara kubwa kwao kwa upande wa Tanzania.

Wanachofanya saivi ni kuja kuweka mazingira sawa ikiwa kuingia mikataba na hoteli na makampuni ya Tanzania ili Documentary ikiwa aired tu booking zinawakuta wakiwa wameshaweka mazingira sawa!
 
Kwa maana hiyo wao wameisha iona hiyo movie ya ROYAL TOUR kabla hata ya launching....!!
Endeleeni kukariri! Ndo mjivunze wazungu wanavyojua kutengeneza fursa!

Hawa na agent wamekuja kuweka mikataba na ma hoteli ya kitanzania pamoja na kampuni za bongo ili booking zitakapoanza wawe kwenye biashara tayari kuingiza pesa
 
Back
Top Bottom