hii nyumba Kama naipata ipo Alli Hassan Mwinyi road oystebay upande wa pili wa Barbara karibu na Dar Free market?
You eat your cake and have it-nyokaKwa sasa habari za mujini ni Samia na hizo habari za chato zimeshapitw na wakati na hakuna muda huo
Hata bhange ni dawaYou eat your cake and have it-nyoka
Hakuna cha ajabu hapo ndugu Nebuchadinezzer na kwa kukazia tu...naye shetani anao wafuasi wengi kuliko inavyoaminishwa hapa JF!NB: Kasomeni comment kwenye post ya milady Ayo inayosema "Mbowe ataka chanjo iwe lazima" ndio mtajua watu walio nyuma ya JPM ni wengi kuliko inavyoaminishwa hapa JF
Nchi hii ina wajinga wengi sana hawawezi kukosekana wa kimuunga mkono.Ngoja niwaibie siri ndugu zangu wana-JF mnaopenda kuja kuwa viongozi wa kisiasa katika siku za usoni...
Hilo haoniVipi kuhusu kuokota miili ya watu waliofariki, watu kutekwa na kupotea?,
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu sn1. Utekaji, mauaji na kuokota miili kwenye sandarusi.
2. Kesi za kukomenti mitandaoni.
3. Chato