Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kubalini tume huru kuwe na uchaguzi wa ki demokrasia. Hatujawahi kumchagua Rais Tanzania. Tumechoka kuongozwa na watu wachache wanaofanya maamuzi ya walio wengi.

Kile kikao cha CCM kule Dodoma mnakiita bunge hakina ridhaa ya wananch.
 
IMG-20211021-WA0000.jpg
 
Ndege alizonunua ni ngapi ambazo ni functional?

Mbuga ni ardhi na wala kwa hivyo ni lazima iendelee kuwepo, Serengeti, Mikumi, na zingine zilianzishwa hata kabla mwendazake hatarajii kuwa kiongozi na bado zipo

Ila umesahahu kubwa mja tu nalo ni DENI ALILOTUACHIA NALO BADO LIPO NA LINAENDELEA KUKUWA!
 
Back
Top Bottom