CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
yahani kama tulichoma vifaranga wenu round hii tunachoma mpaka kunguni wenuUnatukazia wapi,how does it affect us, wewe na nani, what position do you hold ama uko to hapk vijiweni
yahani kama tulichoma vifaranga wenu round hii tunachoma mpaka kunguni wenuUnatukazia wapi,how does it affect us, wewe na nani, what position do you hold ama uko to hapk vijiweni
Achana na majinga hayo ,mama hana moyo wa kikatili na ni mtu wa reasoning ,hao mataga wakizingua atawaweka pembeniUnatukazia wapi,how does it affect us, wewe na nani, what position do you hold ama uko to hapk vijiweni
Makubwa yapi na wewe ? Bado unaendelea na pambio tu!Hakuna kiongozi ameweza kufanya makubwa kama magufuli, mbona kipindi kile, mishahara ilipandishwa lakibi huduma katika jamii ni za hovyo kuanzia miundombinu, huduma hospitalini, kilw mmoja kafanya yake ila huyu mzee kaenda extra miles
Labda kwa familia yako.mwendazake aende.You never know value of something until you loose it
Lose*You never know value of something until you loose it
Hatutakuja turudie tena makosa! Nyinyi muendeleze tu ishu zenu za kilimo na ufugaji. Haitokuja itokee mkapewa tena Nchi.Ntamkumbuka kwa kutukumbatia wasukuma na kutujengea chato yetu na usukumani kwa ujumla wake
Acha woga wewe.He is My son's legacy
Amenisaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewah pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
Kati ya watu ambao walimlaani huyu mzee, na mimi ni mmoja wao! Maana hakututendea kabisa haki watumishi wa umma katika utawala wake.Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika
you never know how bad you was until when you are out, push the car when you are out of it and not when you are inYou never know value of something until you loose it
NonsenseFacts are very stubborn, waTz wabishi kweli na matusi, government ya tz is very unprofessional we pray for a peaceful transition