Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kama uko makini kuangalia anayo yafanya Rais Magufuli utagundua kuwa ni Yale aliyo yasema kwenye ahadi zake wakati wa kampeni.

Mfano:
1. Aliahidi kufufua shirika la ndege (watu walishangilia nadhani hawakujua madhara yake na labda hawakujua ni kwa namna gani atafufua hilo shirika), ahadi hii hadi sasa imetimia kwa asilimia nyingi.

2. Kutoa Elimu bure, hili pia kalitimiza kwa ufanisi mkubwa (cha muhimu sasa aangalie jinsi gani ya kutatua changamoto za Elimu bure mana linaweza kuwa janga lataifa hapo baadae)

3. Viwanda, hapa amejitahidi kuhimiza sera ya Viwanda kufanikiwa kwa uchache kidogo mkoa wa pwani unaweza kuwa mfano wa kufanikiwa kwa sera hii.

Lakini sasa kuongezeka kwa Kodi kumepelekea uchumi kudorora na uwekezaji kupungua, biashara kufa n.k, lakini amejitahidi kuonyesha kuwa na nia ya kutumiza ahadi hii.

4. Maji na umeme wa uhakika. Mifano mizuri hapa, ujenzi Bwawa la Nyerere na mradi wa maji Ziwa Victoria kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida hadi Dodoma.

5. Miundombinu, hili pia ametimiza kwa kiasi kikubwa. Mifano michache ni SGR, ujenzi wa barabara mbalimbali kama Nyakanazi-Kigoma, ujenzi wa madaraja mbalimbali Kama Busisi-Kigongo n.k.

6. Huduma za afya,hili pia amefanya kwa kiwango kikubwa vituo vya afya zaidi ya 367 vimejengwa nchi nzima hadi sasa.

Hiyo ni mifano michache tu kuonyesha kuwa anayo yafanya ni yale aliyo ahidi. Lakini swali je haya anayoyafanya yanawagusa Watanzania na ndio vipaumbele vyao?

Na kama sio kwanini tulimchagua wakati ahadi zake tuliziona tangu kweye kampeni au hatukuchuja kujua kama zina faida kwetu?

Kama ni hivyo Rais Magufuli ana la kuwajibu Watanzania kuhusu ahadi zake?

Ninachokiona mimi Rais Magufuli ametimiza alicho waahidi Watanzania.
 
Kama uko makini kuangalia anayo yafanya Rais Magufuli utagundua kuwa ni Yale aliyo yasema kwenye ahadi zake wakati wa kampeni.

Mfano:

1. Aliahidi kufufua shirika la ndege (watu walishangilia nadhani hawakujua madhara yake na labda hawakujua ni kwa namna gani atafufua hilo shirika), ahadi hii hadi sasa imetimia kwa asilimia nyingi.

2. Kutoa Elimu bure, hili pia kalitimiza kwa ufanisi mkubwa (cha muhimu sasa aangalie jinsi gani ya kutatua changamoto za Elimu bure mana linaweza kuwa janga lataifa hapo baadae)

3. Viwanda, hapa amejitahidi kuhimiza sera ya Viwanda kufanikiwa kwa uchache kidogo mkoa wa pwani unaweza kuwa mfano wa kufanikiwa kwa sera hii.

Lakini sasa kuongezeka kwa Kodi kumepelekea uchumi kudorora na uwekezaji kupungua, biashara kufa n.k, lakini amejitahidi kuonyesha kuwa na nia ya kutumiza ahadi hii.

4. Maji na umeme wa uhakika. Mifano mizuri hapa, ujenzi Bwawa la Nyerere na mradi wa maji Ziwa Victoria kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida hadi Dodoma.

5. Miundombinu, hili pia ametimiza kwa kiasi kikubwa. Mifano michache ni SGR, ujenzi wa barabara mbalimbali kama Nyakanazi-Kigoma, ujenzi wa madaraja mbalimbali Kama Busisi-Kigongo n.k.

6. Huduma za afya,hili pia amefanya kwa kiwango kikubwa vituo vya afya zaidi ya 367 vimejengwa nchi nzima hadi sasa.

Hiyo ni mifano michache tu kuonyesha kuwa anayo yafanya ni yale aliyo ahidi. Lakini swali je haya anayoyafanya yanawagusa Watanzania na ndio vipaumbele vyao?

Na kama sio kwanini tulimchagua wakati ahadi zake tuliziona tangu kweye kampeni au hatukuchuja kujua kama zina faida kwetu?

Kama ni hivo Rais Magufuli ana la kuwajibu Watanzania kuhusu ahadi zake?

Ninachokiona mimi Rais Magufuli ametimiza alicho waahidi Watanzania.
Vipi million 50 kila kijiji kusaidia vikundi vidogo vidogo Alisha tekeleza?
 
Ahadi nyingine aliyotimiza ni matajiri kuishi kama mashetan

Hii kaitimiza kwa kiasi kikubwa sana
Cc manji, seth rugemalila na mo kuonja joto la jiwe kwa siku tisa nk

Watanzania kukimia meno

Hakika tunalimia meno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ahadi aliahidi kwenye jimbo gani mkuu wakati wa kampeni??

Aliahidi viwanda, ila kwa sasa ameishia kuleta porojo. Kauua ajira kabisa. Kaingia kwenye miradi mikubwa miwili ya zaidi ya shilingi 15t wakati inaonyesha uwezo ni mdogo kuikamilisha wakati wa uongozi wake. Kakuza deni la taifa bila kuwa na mipango madhubuti ya kulipa deni hilo. Ameangusha uchumi na kuharibu demokrasia ya nchi kabisa, kiasi kwamba hivi sasa box la kura linadharaulika huku yeye akilazimisha kuweka viongozi wanaomsujudia. Kaifanya mihimili kuwa kibogoyo na nchi ya viongozi wa kunyanyasa wananchi.
 
Anatakiwa awe na priority pia katika projects zake, train, stieglers, flyover ,ndege,angepiga pia mwendo kasi mbili Dar,na Jangwani Dar kuzuia mafuriko kwa awamu yake ya kwanza , akichaguliwa awamu ya pili focus iwe na viwanda kujenga sio kuandaa mazingira ya viwanda, kilimo,na kuboresha hali ya maisha kwa wananchi,kuongeza mishahara kwa wafanyakazi ,uzalishaji kazima tupambane sana hiwezeani nchi ina watu mil60 inakuwa na GDP ya USD 61 BIL USD, hii ni aibu sana, tuweke malengo ya kufikia BIL 100+ USD for coming 2 to 3yrs.
 
Kuna ahadi imetolewa na chama chake.
Ilani ya uchaguzi ya CCM iliahidi kuwapatia watanzania Katiba mpya, lakini ahadi hiyo imetupiliwa mbali .
 
Kama uko makini kuangalia anayo yafanya Rais Magufuli utagundua kuwa ni Yale aliyo yasema kwenye ahadi zake wakati wa kampeni.

Mfano:
1. Aliahidi kufufua shirika la ndege (watu walishangilia nadhani hawakujua madhara yake na labda hawakujua ni kwa namna gani atafufua hilo shirika), ahadi hii hadi sasa imetimia kwa asilimia nyingi.

2. Kutoa Elimu bure, hili pia kalitimiza kwa ufanisi mkubwa (cha muhimu sasa aangalie jinsi gani ya kutatua changamoto za Elimu bure mana linaweza kuwa janga lataifa hapo baadae)

3. Viwanda, hapa amejitahidi kuhimiza sera ya Viwanda kufanikiwa kwa uchache kidogo mkoa wa pwani unaweza kuwa mfano wa kufanikiwa kwa sera hii.

Lakini sasa kuongezeka kwa Kodi kumepelekea uchumi kudorora na uwekezaji kupungua, biashara kufa n.k, lakini amejitahidi kuonyesha kuwa na nia ya kutumiza ahadi hii.

4. Maji na umeme wa uhakika. Mifano mizuri hapa, ujenzi Bwawa la Nyerere na mradi wa maji Ziwa Victoria kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida hadi Dodoma.

5. Miundombinu, hili pia ametimiza kwa kiasi kikubwa. Mifano michache ni SGR, ujenzi wa barabara mbalimbali kama Nyakanazi-Kigoma, ujenzi wa madaraja mbalimbali Kama Busisi-Kigongo n.k.

6. Huduma za afya,hili pia amefanya kwa kiwango kikubwa vituo vya afya zaidi ya 367 vimejengwa nchi nzima hadi sasa.

Hiyo ni mifano michache tu kuonyesha kuwa anayo yafanya ni yale aliyo ahidi. Lakini swali je haya anayoyafanya yanawagusa Watanzania na ndio vipaumbele vyao?

Na kama sio kwanini tulimchagua wakati ahadi zake tuliziona tangu kweye kampeni au hatukuchuja kujua kama zina faida kwetu?

Kama ni hivyo Rais Magufuli ana la kuwajibu Watanzania kuhusu ahadi zake?

Ninachokiona mimi Rais Magufuli ametimiza alicho waahidi Watanzania.
Ile milioni hamsini kila mtaa ameshatimiza?
 
*UKITAKA KUJUA MAGU BABA LAO, MATHEMATICS IMEJAA NA KULALA KAMA PAI SOMA HII TENA KWA LUGHA YA MSISITIZO*

Phase 1 of the SGR project (Dar es Salaam to Morogoro - 205 km mainline and 95 km passing loop) is more than 70 percent complete *(Balance 30%)*.

Construction of Phase 2, of the SGR which runs from Morogoro to Makutupora (422 km, of which 336 km will be the mainline and 86 km passing loop) implementation has reached 30 percent *(Balance 70%)*

*Balance works for phase 1&2 will get financing from this Stan Chart loan facility to allow more revenues to be channelled into other life transforming projects like water, energy and healthcare*


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
  • Thanks
Reactions: BAF
Huyu jamaa na waziri wa elimu nawaelewa sana! Hasa linapokuja suala zima la kutema madini.
 
Aisee baada ya kupita mwaka mmoja bila kufika kijijini kwangu Leo nimeona kasi halisi ya muheshimiwa magu kwa macho yangu ..mkeka umelazwa umeme mpaka mchana watu wanawasha taa aisee huu ni MZIKI MNENE CD 700 KANYAGA TWENDE MUKULU
IMG_20200229_124052.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom