Mtuhurumie sisi kwa sisi kwani hata hukuupinzi usione tunaisema vibaya CCM lakini wakati mwingi tunawahadaa watanzania ili tuonekane tunahoja kinzani.
Ndo maana ACT Wazalendo huenda miaka ijayo kikiwa chama kitatusumbua sana sisi chadema kama hatutabadilika.
Kwenye kamati kuu nilishauri juu ya kuwashauri wnanachama wetu kuwas wasitaarabu na hata wapongeze serikali inapofanya vizuri, lakini niishiwa kudhalilishwa.
Usione Mnyika amekuwa kimya ukadhani ni kupenda.
Ndo maana ACT Wazalendo huenda miaka ijayo kikiwa chama kitatusumbua sana sisi chadema kama hatutabadilika.
Kwenye kamati kuu nilishauri juu ya kuwashauri wnanachama wetu kuwas wasitaarabu na hata wapongeze serikali inapofanya vizuri, lakini niishiwa kudhalilishwa.
Usione Mnyika amekuwa kimya ukadhani ni kupenda.