Nenda chato pale kaburini uombe ule mzoga ukurudishie akili zako, make mwendakuzimu alikufa na akili zako.Utapanic sana dogo namna hii maisha yako yatakuwa magumu sana!
Acha kutumika kuwa na akili ya kujitegemea
Nenda chato pale kaburini uombe ule mzoga ukurudishie akili zako, make mwendakuzimu alikufa na akili zako.Utapanic sana dogo namna hii maisha yako yatakuwa magumu sana!
Acha kutumika kuwa na akili ya kujitegemea
Tukana watu unadhani wote wana akili kama zako, unajiona wewe haufi sio?Misukule ya mwendakuzimu nyie mna kazi kweli, kwa hiyo unataka kusema miradi yote inayoendelea sasa hivi inafanyika kwa kufuata maelekezo ya mzoga tuliozika chatto? Kuna project ya Dodoma ring maza kaukanseli uambieni huo mzoga uje ujenge si ulianzisha wenyewe bwana.
Mwendakuzimu ye alijiona hafi akaanza kuua wenzake, na aliotamani kuwatanguliza kawaacha wanapumua yeye KafaTukana watu unadhani wote wana akili kama zako, unajiona wewe haufi sio?
Meko motoni.Ni bonge la mega structure.
Vyombo vinapishana tu.
Mzee alikuwa anaona mbali kwa sababu hii ni solution ya vizazi na vizazi.
Namshangaa mama anayatoa jela majizi.
JPM peponi!
Unachekesha endelea kumkumbuka sisi tunasonga mbeleBinafsi nilikuwa mmoja wa waliokuwa wanaipinga sana awamu ya tano na Rais wake Magufuli ila baada ya kutafakari na kujionea hali halisi ilivyo sasa Ninakiri kwamba nilifanya makosa makubwa sana...
mnaipima na kusoma tweet za kina kigogo and the likesUzuri ni idadi ya wanaomkumbuka mtukufu Hamnazo inazidi kupungua kila sekunde!
Yes ni kweli anaiga iga... Mfano kuzungukwa na walinzi wenye mitutu mikubwa, ziara zisizo na tijamnaipima na kusoma tweet za kina kigogo and the likes
kwa taarifa yako Magufuli anaishi hata mamaenu mwenyewe kuna vitu anamuiga japo anachanganya na UNAFIKI
Rate(compare cases za uhalifu zinazoripotiwa saizi hata magari yanatekwa sana usiku kuliko zamani na watu hawakamatwi) pia unyanyasaji umeongezeka hasa vijijini.Una uhakika kipindi cha mwendazake hakukua na rushwa na ujambazi?
Kijiji gani acha uongoRate(compare cases za uhalifu zinazoripotiwa saizi hata magari yanatekwa sana usiku kuliko zamani na watu hawakamatwi) pia unyanyasaji umeongezeka hasa vijijini.
Tena watu walikuwa wanapigwa risasi mchana kweupe bila aibuUna uhakika kipindi cha mwendazake hakukua na rushwa na ujambazi?
Kazi gani ya ujenzi wa miundombinu imepungua??Yafuatayo yamenifanya nimkumbuke hayati
Uhalifu umeongezeka sana mtaani kwetu , kijijini na taifa kwa ujumla
Viongozi waliopo wameanza kuringa katika kutekeleza majukumu yao
Rushwa imerudi kwa kasi sana, nina uhakika juzi tu nililithibitisha hili.
Kasi ya ujenzi wa miundombinu imepungua.
Rais Samia plz play your role as the president.
Tofauti ya siku zile ni kwamba watoa taarifa za ujambazi wenyewe walikua wanashughulikiwa kuliko majambazi ndio maana mkatiwa upofu kama hakuna ujambazi,sasa hivi watoa taarifa wanapewa hadi milioni mbili ndio maana unaskia taarifa za ujambazi kila kona kwa uwezo wako mdogo ndo unahisi kama uhalifu umeongezeka...tumieni akili kidogo katika kujaji mambo.Rate(compare cases za uhalifu zinazoripotiwa saizi hata magari yanatekwa sana usiku kuliko zamani na watu hawakamatwi) pia unyanyasaji umeongezeka hasa vijijini.
Halafu ole wako utoe taarifa polisi umeona tukio unakamatwa wewe kwanza na kupewa kesi ya uchochezi.Tena watu walikuwa wanapigwa risasi mchana kweupe bila aibu
Gogo kavu liko hai na lina akili kuliko wewe mbutuchutiTofauti ya siku zile ni kwamba watoa taarifa za ujambazi wenyewe walikua wanashughulikiwa kuliko majambazi ndio maana mkatiwa upofu kama hakuna ujambazi,sasa hivi watoa taarifa wanapewa hadi milioni mbili ndio maana unaskia taarifa za ujambazi kila kona kwa uwezo wako mdogo ndo unahisi kama uhalifu umeongezeka...tumieni akili kidogo katika kujaji mambo.
Nawalaumu baba na mama yako kwa kuzaa toto junya kama wewe,bila shaka ni uzazi wao wa uzeeni.Gogo kavu liko hai na lina akili kuliko wewe mbutuchuti