Ngoja Wapinzanii wajee..Ukweli usemwe magufuli kwenye miundo mbinu aisee shkamoo kweli hakuna Alie mkamilifu ungefanya hivi kwenye demokrasia ungekuwa the best president ever. Kama binadamu tuna udhaifu wetu ila kwenye miundo mbinu aisee shkamoo mzee baba.
Weka pichaKuna barabara naziona Tanzania Kama ulaya aisee
sawa Don mwenzanguMkuu haya mambo ya siasa ni magumu sana, mimi naona ungeendelea kuturushia picha za misosi na pombe ndugu.
sawa Don mwenzangu
Bahada --- baadaSiasa zilishakwisha subiri bahada ya mitano tena
Hahaha, exactlyNajiuliza tu, hivi Mr Mzungu angeweza kweli!??? Maana ni wazi na dhahiri shahiri kwamba anapapia mambo mawili: Kimalkia na matusi. No more, no less.
NB: ^Nikishindwa uchaguzi huu, nawaingiza wananchi barabarani!^
Demokrasia ni muhimu kiuchumi kuliko miundombinu uchwaraUkweli usemwe magufuli kwenye miundo mbinu aisee shkamoo kweli hakuna Alie mkamilifu ungefanya hivi kwenye demokrasia ungekuwa the best president ever. Kama binadamu tuna udhaifu wetu ila kwenye miundo mbinu aisee shkamoo mzee baba.